Simpendi hata kidogo

Simpendi hata kidogo

Usilazimishe mapenzi kwa sababu ya vitu... Kuanzia sasa acha kupokea vitu au hela kutoka kwake, itakuwa msg tosha kuwa humtaki...
 
Dah!kama umemtamkia humpendi na bado anakuja nahisi ni tatzo lake binafsi,chukua hatua inayofuata usipokee chochote kutoka kwake!
 
anapokupanda unafika vilele...na ukifika ..unasemaje?
 
Mswahili
1. Mtu aneongea kiswahili
2. Mtu anaeshi pwani ya afrika mashariki
3. Mtu mbea/ asie tunza ahadi
The list goes on
Chek ww unafall wapi kabla cjakujibu swali lako


....sidondokei popote....

...najitahidi kukuelewa lakin nashndwa..
 
....sidondokei popote....

...najitahidi kukuelewa lakin nashndwa..


Mh naona unagonga ngeli maan hata #1 haikuhusu

Huwez kunielewa cz hutaki kunielewa, unachofikiria sicho, hata nkikwambia ukweli itabaki kung'ang'ana na hoja yako so suit yo self
 
Mh naona unagonga ngeli maan hata #1 haikuhusu

Huwez kunielewa cz hutaki kunielewa, unachofikiria sicho, hata nkikwambia ukweli itabaki kung'ang'ana na hoja yako so suit yo self


....hujanijibu swali langu la msingi..

Huyo jamaa anakupandisha mlima.?
 
Inaezekana uko sahihi Faiza lkn kusema ukweli hata pesa zake sizitaki, simfeel kabisa lkn hanielewi, king'ang'anizi sana

ni type na mabinti wanaosoma chuo lakini hawajielewi! Hawafikiri kuna maisha baada ya chuo, tamaa za kupenda vitu kama pesa, nguo, magari na kuoneshea wenzao kwamba anatoka na ma handsome boy wenye wallet nene ndo mpango mzima.
Kiufupi ni muendelezo wa ukicheche tu, hamna lolote. Na huyo jamaa keshawasoma aina ya marafiki ulionao na ndo maana hataki utoke nao out hao viruka njia wenzako.

Kiufupi tulizana usome, umalize shule then uje mtaani utafakari ili ujue mchumba wa kukuoa awe na character zip? Kiufupi huwezi kumpata aliye perfect 100%. Huyo jamaa naye ukimuuliza kuhusu wewe anaweza kukutoa kasoro kibao!

Soma historia ya Obama na Michelle Obama ujue walianziana wapi, kikubwa jifunze mindset ya michelle ilikuwaje juu ya Obama. Utaona jinsi wanawake wenye think tank kubwa wanavyoitizama future leo.
 
Embu angalia ulicho post kwenye thread nyingine:

nimekutana nae fb sikujua kama ni kaka wa boyfie, kutokana na fake names hizi, basi tukachat chati wee mpaka kanizoea, kama wasemavyo wakikaa watu wawili peke yao shetani anakua wa tatu wao, basi kaka watu akajikuta kafall, sio utani mwanzo alikua haingii fb kivile bt nw 24/7 hadi nafanya kumfukuza akalale,, after sometime nkajua kama ni ndugu na mtu wangu, bt sikumwambia tukaendelea na urafiki wetu, kaka wa watu yupo mkoani anataka kuja tuonane, nashindwa nianzie wapi kumwambia kua am invoved wt his lil bro, naogopa ataniona muongo and hell stop trusting me,, niko njia panda,, I dnt want to lose hz friendshp


Tulizana wewe ki kicheche ......embu check hapa chini umeandika nini? Kwa hiyo unataka kuachana na mdogo mtu baada ya kumpata kaka mtu?

Kwa kweli simpendi huyu kaka, kajitahidi vya kutosha kunionyesha ananipenda, kanipa kila kitu, tatizo hanisisimui, hanivutii hata, nimejaribu kujifunza kumpenda japo angalau niweze kumlipa wema alionifanyia lakin wapi, nimemwambia zaidi ya mara elfu kua hayupo moyóni lakin hataki kuelewa, yani ananiboa
Kuna kipindi nliamua nimpe chance myb baada ya kudate ningeweza kumlike lakini wapi, anatabia ya kupenda kunicontrol, mara oo usiende chuo ntakupa chochote unachohitaji, mara usiwe pic zako fb, uwe unantumia kwa wassap,, mara sipendi utoke na marafiki zako kama unataka kwenda out niambie ntakutoa,,,yan inshort alinichosha
His the guy I can call hata usiku wa manane and hell come to my rescue, lakn love, hapana moyo wangu umemkataa kata kata,

Love is something else kwa kweli.

Eid mubarak wanaMMU
 
sooner or later utaleta sredi ya kuomba ushauri kwa kuachwa
 
Maisha ya cumpus huwa yanawazuzua sana mabinti wengi.we maliza shule urudi kitaa uone jinsi utakavoanza kushobokea hadi wasukuma mikokoteni.
 
Ngoja ziishe semister uanze kuhaha na kuhamia jukwaa la Love Connect maana ndo zenu kujifanya hampendi sasa hv kisa kabumu kanakupa kiburi cha kuhudhuria saluni. Mpende akupendae wewe acha nyodo za kijinga hizo utakuja kujutia hayo maneno yako badae we endelea kuwatamani akina eat and run hvy hvy!
 
uko chuo? ushakula vyake? kwann ulmkubal ili ule vyake? maliza chuo uanze kutafuta maisha bla yy km siutajiuza
 
Back
Top Bottom