Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,645
anatimiza wajibu kutoka juu
Unaulizia vumbi stoo , taratibu dawa inapenya na masikio yanafunguka,Kwa comment hii mimi na wewe ni nani kafilisika?
Uyo Wamemfanya Kitoweo..amekuwa kipumziko chao....wanasemaga sio mchoyo
Hebu tuambie kwanini hatumbuliwi?
Kasi ipi unayoizungumzia, hii ya kuivamia clouds kwa bunduki na kumtengua nape na kumwacha bashite mwizi wa vyeti mzee wa fafafa???Kabla sijakujibu nikuulize unakubali utendaji wa rais?je ana kasi uitakayo?
Kasi ipi unayoizungumzia, hii ya kuivamia clouds kwa bunduki na kumtengua nape na kumwacha bashite mwizi wa vyeti mzee wa fafafa???