Simiyu kuanzisha shule ya vipaji maalum

Simiyu kuanzisha shule ya vipaji maalum

he he he he
Osald Mang'ombe tena??

Kesho nikipita kuelekea Buhemba nitakusalimu hapo kijiweni kwako.
Mbunge wa musoma vijijin kipindi hiko sasa Mbunge wa butiama ,Mh Nimrod Mkono

Alijenga shule tatu , moja ikiitwa Chief Wanzagi ,nyingine Chief Ihunyo na ya Mwisho Oswald Mang'ombe

Hakika hizi ni shule ni nzuri sana ,alipojenga shule mbili alizikabidhi serikalini yaani chief ihunyo na Oswald mang'ombe na akazipatia walimu wazuri toka uingereza

Mfano Oswald mang'ombe ina swimming pool
 
Mbunge wa musoma vijijin kipindi hiko sasa Mbunge wa butiama ,Mh Nimrod Mkono

Alijenga shule tatu , moja ikiitwa Chief Wanzagi ,nyingine Chief Ihunyo na ya Mwisho Oswald Mang'ombe

Hakika hizi ni shule ni nzuri sana ,alipojenga shule mbili alizikabidhi serikalini yaani chief ihunyo na Oswald mang'ombe na akazipatia walimu wazuri toka uingereza

Mfano Oswald mang'ombe ina swimming pool
Ah
jamaa alikuwa anajenga tu upande wao.

Huku upande wetu wa Majita hakujenga kabisa, kwa sababu hakuwa wa huku.

Ndio maana Muhongo akapita kirahisi sana.
 
Ah
jamaa alikuwa anajenga tu upande wao.

Huku upande wetu wa Majita hakujenga kabisa, kwa sababu hakuwa wa huku.

Ndio maana Muhongo akapita kirahisi sana.
Ila naona Musoma vijijin Prof Muhongo anajitahid sana , sizani kama atatoka kirahisi
 
Mkuu wa mkoa wa simyu ,Mtaka kuanzisha shule kwa ajili ya wanafunzi wenye vipaji maalum ambayo itaitwa SIMIYU boys na SIMIYU girls,ambazo zitaungana na shule kama kibaha,mzumbe,ilboru,tabora(b),tabora(g),msalato na kilakala

Lengo la shule hizi ni kuongeza wigo mpana wa vijana ambao siku zote wanaonekana kuwa na vipaji lakini wanakosa nafasi ya kuvionyesha kutokana na ufinyu wa nafasi.

Hii yote ni kutekeleza Sera ya Tanzania ya viwanda kwa kuwezesha vijana kielimu kwanza

Nawasilisha
Hizi shule zinakua za vipaji gani? Kuimba, kucheza ngoma au mpira?
 
unsung hero hyu ni rc wa kuigwa kuliko kile kibwengo cha mji mkongwe huko maji matitu
 
Ila naona Musoma vijijin Prof Muhongo anajitahid sana , sizani kama atatoka kirahisi
Hawezi kutoka kabisa.
Ukizingatia anajua sana "kupempera" na kaleta maendeleo sana jimbo lile, maana lilikuwa limesahaulika mno.
 
RC wa Simiyu yuko vizuri, huo ndio ubunifu wa kimaendeleao, watakaompinga ktk hilo watakuwa maadui wa wana- Simiyu wote bila kujali itikadi zao.

Vv
 
Hawezi kutoka kabisa.
Ukizingatia anajua sana "kupempera" na kaleta maendeleo sana jimbo lile, maana lilikuwa limesahaulika mno.
Basi safii sana nasikia umeme katandaza musoma vijijin yote
 
Mkuu wa mkoa wa simyu ,Mtaka kuanzisha shule kwa ajili ya wanafunzi wenye vipaji maalum ambayo itaitwa SIMIYU boys na SIMIYU girls,ambazo zitaungana na shule kama kibaha,mzumbe,ilboru,tabora(b),tabora(g),msalato na kilakala

Lengo la shule hizi ni kuongeza wigo mpana wa vijana ambao siku zote wanaonekana kuwa na vipaji lakini wanakosa nafasi ya kuvionyesha kutokana na ufinyu wa nafasi.

Hii yote ni kutekeleza Sera ya Tanzania ya viwanda kwa kuwezesha vijana kielimu kwanza

Nawasilisha
Huwezi kuwa na Special school kila mahari zilizopo zenyewe hazijajaa!
Ingekuwa hivyo Oxford, Havard, MIT zingekuwa kama utitiri
 
Niulize wajuvi hivi hizi shule za vipaji maalum zinakuwa na tofauti gani ukilinganisha na hizi za kawaida hasa kwenye upande wa miundo mbinu ya kufundishia na walimu. Najua zinachukua wanafunzi ambao wako "vizuri" kichwani na labda zina ufaulu mzuri je kuna sifa nyingine za ziada?.
Aibu...
Tuliacha Tabora School iko hoi bin taaban! Thank God tulitusua
 
Kwani mkoa wa Simiyu hauna waalimu? Ni suala la kuchukua wale waalimu best ktk shule nyingine za Simiyu na kuwapeleka ktk hizo shule maalum.

Vv
Sasa hapo atakua anajenga au anabomoa?
 
Sasa hapo atakua anajenga au anabomoa?
Ubora wa waalimu unatofautiana kutokana na kipaji, wito na commitment. Kuna waalimu pamoja na mazingira magumu ya kazi bado wako serious na committed to their work. Akiteua waalimu wanaofaulisha vizuri kwenye masomo yao na kuwakusanya kwenye shule moja atajenga zaidi kuliko kuwaacha mmojammoja kwenye shule tofauti.

Pili akipata uungaji mkono wa kutosha, Simiyu kama mkoa wanaweza kuamua kuajiri waalimu na kuwalipa ili kuziba mapengo ya upungufu wa waalimu.

Vv
 
Ubora wa waalimu unatofautiana kutokana na kipaji, wito na commitment. Kuna waalimu pamoja na mazingira magumu ya kazi bado wako serious na committed to their work. Akiteua waalimu wanaofaulisha vizuri kwenye masomo yao na kuwakusanya kwenye shule moja atajenga zaidi kuliko kuwaacha mmojammoja kwenye shule tofauti.

Pili akipata uungaji mkono wa kutosha, Simiyu kama mkoa wanaweza kuamua kuajiri waalimu na kuwalipa ili kuziba mapengo ya upungufu wa waalimu.

Vv
Kwa hiyo hao wanafunzi wanaochaguliwa hizo shule nyingine watajijua wenyewe maana walimu wao wazuri watapelekwa vipaji maalum. Je hakuna mkakati mwingine wa kujenga hiyo shule bila kubomoa hizo shule nyingine?
 
Back
Top Bottom