PostGE2025 Simbachawene: Ukitoka Desemba 9, uwe na kitambulisho

PostGE2025 Simbachawene: Ukitoka Desemba 9, uwe na kitambulisho

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Mafyangula

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2025
Posts
557
Reaction score
1,039
Vitambulisho vya nini wakati mmesema hakuna matishio ya amani?

Ila Tanzania tulipofika sasa ni huzuni!
=================
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amewakumbusha wananchi watakaotoka Desemba 9 wahakikishe wana vitambulisho ili kuepusha usumbufu.

 
Sasa si mseme kuwa mutaki tutoke nje.
 
Vitambulisho vya nini wakati mmesema hakuna matishio ya amani?

Ila Tanzania tulipofika sasa ni huzuni!
=================
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amewakumbusha wananchi watakaotoka Desemba 9 wahakikishe wana vitambulisho ili kuepusha usumbufu.

Screenshot_20251119-103538~2.png
 
Muliro kama namwaona vile....
Thus tym hawawezi kuyumia nguvu kubwa kama ile. Ila watakamatwa maelfu kwa maelfu, ikiwa tu watu watatoka kuandamana.
 
Vitambulusho gani na nida wanaringa kuvitoa walidhani hatutapumua?
Apuuzwe huyu.
 
Kesho wanazima na internet kabisa
 
Back
Top Bottom