Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 573
- 2,553
Jina: Chlouha Zakaria
Utaifa: Morocco
Kwa mujibu wa taarifa ambazo hazijathibitishwa na Uongozi wa Simba SC, kocha Chlouha Zakaria anaweza pia kuhudumu kama kocha wa viungo.
=====
Kocha huyo ni Chlouha Zakaria ambaye ametambulishwa leo Jumanne Novemba 15, 2022 ambapo anaungana na Juma Mgunda kwenye benchi la ufundi la timu hiyo.
Kocha huyo anachukua nafasi ambayo ilikuwa ikisimamiwa na Muharami Said Mohammed ‘Shilton’ ambaye Simba ilitangaza kutokuwa na mkataba na kocha huyo ambaye alipewa kazi ya kuwanoa makipa kwa muda wa mwezi mmoja.
Muharami ni mmoja wa watuhumiwa waliotangazwa kushikiliwa Novemba 15, 2022 wakabiliwa na tuhuma za kukutwa na madawa ya kulevya.
===
Wasifu wake
Utaifa: Morocco
Kwa mujibu wa taarifa ambazo hazijathibitishwa na Uongozi wa Simba SC, kocha Chlouha Zakaria anaweza pia kuhudumu kama kocha wa viungo.
=====
Kocha huyo ni Chlouha Zakaria ambaye ametambulishwa leo Jumanne Novemba 15, 2022 ambapo anaungana na Juma Mgunda kwenye benchi la ufundi la timu hiyo.
Kocha huyo anachukua nafasi ambayo ilikuwa ikisimamiwa na Muharami Said Mohammed ‘Shilton’ ambaye Simba ilitangaza kutokuwa na mkataba na kocha huyo ambaye alipewa kazi ya kuwanoa makipa kwa muda wa mwezi mmoja.
Muharami ni mmoja wa watuhumiwa waliotangazwa kushikiliwa Novemba 15, 2022 wakabiliwa na tuhuma za kukutwa na madawa ya kulevya.
===
Wasifu wake