Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 16,927
- 13,011
Simba hawapati hela.
Chanzo CEO wa Simba
Chanzo CEO wa Simba
Ni mchezaji gani mwingine duniani ana mkataba kama huo, kuwa timu iliyomuuza inapata pesa milele kila anapouzwa?Kwenye kipindi cha KIPENGA EXTRA usiku huu Rage amepigiwa simu kuhusu kipengele cha Simba kupata % .
Amesema ni kweli kipindi wanamuuza kwenda TP MAZEMBE walisaini kipengele hicho.
Yaani kila Samatta anapohama timu Simba wanapata 20% yao... Ila akasema hajui kama UONGOZI mpya ulisimamia vzr kipengele hicho au walifanya ujanjaujanja.
Ha ha ha kuna taahira mmoja alidai simba itanufaika na Samatta hadi atakapostafuNi mchezaji gani mwingine duniani ana mkataba kama huo, kuwa timu iliyomuuza inapata pesa milele kila anapouzwa?