3llyEmma
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 6,172
- 6,882
Kwenye kipindi cha KIPENGA EXTRA usiku huu Rage amepigiwa simu kuhusu kipengele cha Simba kupata % .
Amesema ni kweli kipindi wanamuuza kwenda TP MAZEMBE walisaini kipengele hicho.
Yaani kila Samatta anapohama timu Simba wanapata 20% yao... Ila akasema hajui kama UONGOZI mpya ulisimamia vzr kipengele hicho au walifanya ujanjaujanja.
Amesema ni kweli kipindi wanamuuza kwenda TP MAZEMBE walisaini kipengele hicho.
Yaani kila Samatta anapohama timu Simba wanapata 20% yao... Ila akasema hajui kama UONGOZI mpya ulisimamia vzr kipengele hicho au walifanya ujanjaujanja.