Rage: Simba nendeni Kwa Eng. Hersi awafundishe kusajili

Labani og

JF-Expert Member
Sep 15, 2020
15,783
24,215
RAGE: SIMBA NENDENI KWA ENGINEER AWAFUNDISHE KUSAJILI.

“Usajili wa dirisha dogo unakuja, wakae watafakari waangalie wachezaji wa kusajili. Nawasisitiza viongozi, waangalie sana umri wa wachezaji.”

“Yanga wamefanikiwa kwa sababu wachezaji wengi waliowasajili ni vijana wadogo na wale wenye umri mkubwa karibia wote wamewaacha.”

“Ukiona mwenzako kasajili vizuri, basi na wewe jitahidi usajili wachezaji wengine wazuri. Kuna wakati kulikuwa na tetesi Simba ingewasajili Adebayor na Manzoki lakini kwa sasa hawasikiki tena lakini kuna tetesi huenda wakasajiliwa wakati wa dirisha dogo.”

“Viongozi wetu wanapaswa kuwa waangalifu sana kwa sababu Adebayor na Manzoki hawachezi kwa sasa, unawezaje kujua viwango vyao? Wanapaswa kusajili wachezaji wanaocheza kwa sasa na wana umri mdogo.”

- Ismail Aden Rage, Mwenyekiti wa zamani Simba.

#FutbalPlanetUpdates
1699589865208.jpg
 
RAGE: SIMBA NENDENI KWA ENGINEER AWAFUNDISHE KUSAJILI.

“Usajili wa dirisha dogo unakuja, wakae watafakari waangalie wachezaji wa kusajili. Nawasisitiza viongozi, waangalie sana umri wa wachezaji.”

“Yanga wamefanikiwa kwa sababu wachezaji wengi waliowasajili ni vijana wadogo na wale wenye umri mkubwa karibia wote wamewaacha.”

“Ukiona mwenzako kasajili vizuri, basi na wewe jitahidi usajili wachezaji wengine wazuri. Kuna wakati kulikuwa na tetesi Simba ingewasajili Adebayor na Manzoki lakini kwa sasa hawasikiki tena lakini kuna tetesi huenda wakasajiliwa wakati wa dirisha dogo.”

“Viongozi wetu wanapaswa kuwa waangalifu sana kwa sababu Adebayor na Manzoki hawachezi kwa sasa, unawezaje kujua viwango vyao? Wanapaswa kusajili wachezaji wanaocheza kwa sasa na wana umri mdogo.”

- Ismail Aden Rage, Mwenyekiti wa zamani Simba.

#FutbalPlanetUpdatesView attachment 2810347
Angeanzia kuweka management ya kisomi sio mchawi sana ndio anakuwa Mwenyekiti...hii karne ingine .....baada hapo watajielewa wanatakiwa kufanya nini
 
Mafanikio ya Yanga si wachezaji bora pekee bali pia kuna uongozi wa kisasa wenye akili uliojaa vijana, benchi bora la ufundi na mashabiki wenye mzuka na njaa ya mafanikio! Timu ikifunga bao nne tunaanza kuimba Bado moja Bado moja!!

Hivyo vyote hakuna Simba pale wapo viongozi wahuni, mashabiki mbumbumbu, Mo kanjibai na Dem wake Barbar alietimkia Yanga kimyakimya!
 
Mafanikio ya Yanga si wachezaji bora pekee bali pia kuna uongozi wa kisasa wenye akili uliojaa vijana, benchi bora la ufundi na mashabiki wenye mzuka na njaa ya mafanikio!

Hivyo vyote hakuna Simba wapo mashabiki mbumbumbu, Mo na Dem wake Barba alietimkia Yanga kimyakimya!
Amna mkuu.... Barbara bado Yuko simba
 
Back
Top Bottom