Simba wamewafanyia mashabiki wao utapeli

Simba wamewafanyia mashabiki wao utapeli

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,778
Reaction score
36,003
Simba na TFF walitumiwa barua ya kuwapa taarifa kuwa mchezo wao wa fainali dhidi ya RS Berkane kuwa utachezwa Zanzibar Toka tarehe 14 May, 2025

Viongozi wa Simba wakijua hii taarifa waliwapa taarifa kuwa wawndelee kununua tiketi za uwanja wa Benjamin Mkapa

Viongozi wa Simba, TFF na Serikali walikwaminisha mashabiki wa Simba uongo ati mechi ipo Kwa Mkapa, wakati wakijua CAF hawaendeshwi kama akina Mguto

Sasa hapa tunajiuliza watu zaidi ya elfu 20 wameshakata ticket za kuingia Kwa Mkapa na Kwa uchumi wa watu wetu mtu hawezi kutoka Buza akaenda kutazama mchezo huo Zanzibar

Je Simba watauza tickets nyingine za kuingia New Amaan complex siku Jumamosi?

Huu ni utapeli wa wazi
 
Simba na TFF walitumiwa barua ya kuwapa taarifa kuwa mchezo wao wa fainali dhidi ya RS Berkane kuwa utachezwa Zanzibar Toka tarehe 14 May, 2025

Viongozi wa Simba wakijua hii taarifa waliwapa taarifa kuwa wawndelee kununua tiketi za uwanja wa Benjamin Mkapa

Viongozi wa Simba, TFF na Serikali walikwaminisha mashabiki wa Simba uongo ati mechi ipo Kwa Mkapa, wakati wakijua CAF hawaendeshwi kama akina Mguto

Sasa hapa tunajiuliza watu zaidi ya elfu 20 wameshakata ticket za kuingia Kwa Mkapa na Kwa uchumi wa watu wetu mtu hawezi kutoka Buza akaenda kutazama mchezo huo Zanzibar

Je Simba watauza tickets nyingine za kuingia New Amaan complex siku Jumamosi?

Huu ni utapeli wa wazi
Watunze ticket mpaka mechi nyingine, ila nao wamezidi, dubby ya kkoo tari walishakula hela
 
Ooh tumeuza zaidi ya tickets 12,000, ooh blah blah !

Magori alidhania CAF ni TFF kwamba anaweza kuwaamrisha!

Kwani tickets 40,000 za dabi hakuziona!

Sasa Magori peleka mbuzi wako Amani wakaroge! Kichapo kipo pale pale!
 
bado member mdogo sana mkuu,utaliwa na mamba zoea kuleta taarifa za undwazi sasa.
Sasa unataka aleta taarifa unazotaka wewe?. Acha ukora wewe asee.. ukweli ndio huo.. kilichofanyika ni upuuzi wa viongozi wa simba na Serikali.
 
Simba na TFF walitumiwa barua ya kuwapa taarifa kuwa mchezo wao wa fainali dhidi ya RS Berkane kuwa utachezwa Zanzibar Toka tarehe 14 May, 2025

Viongozi wa Simba wakijua hii taarifa waliwapa taarifa kuwa wawndelee kununua tiketi za uwanja wa Benjamin Mkapa

Viongozi wa Simba, TFF na Serikali walikwaminisha mashabiki wa Simba uongo ati mechi ipo Kwa Mkapa, wakati wakijua CAF hawaendeshwi kama akina Mguto

Sasa hapa tunajiuliza watu zaidi ya elfu 20 wameshakata ticket za kuingia Kwa Mkapa na Kwa uchumi wa watu wetu mtu hawezi kutoka Buza akaenda kutazama mchezo huo Zanzibar

Je Simba watauza tickets nyingine za kuingia New Amaan complex siku Jumamosi?

Huu ni utapeli wa wazi
Ule ni wizi wa wazi kabisa, hii mission mazingira yanaonesha ilikuwa imepangwa kimkakati kati ya TFF, viongozi wa Simba na vijiwe vyao propaganda 🤣

Haiwezekan hujajua match venue unaenda kukatisha tiketi kwa mashabiki!
 
Wazanzibar wenyewe tu wanajitosheleza kuujaza uwanja huo wa new amaan complex,ila ubaya wake ni kuwa wazanzibar ni watu wa watulivu na hawashangilii, wanachofanya hata kama mchezaji wa timu pinzani akifanya vizuri uwanjani utawaona wakipiga makofi na vigeregere vya nguvu jukwaani.
Watashangiria sana ila watashangiria waarabu ...kama nilivyo sema waislamu wana akili finyu tena waislamu wazanzibar ni zaidi kwa ufinyu wa akili.
 
Watanzania wengi ni wajinga ifike hatua wagome kuingia uwanjani .

Majitu yana viherehere sana acha yapigwe haya ma pimbi utapeli wawazi kabisa.
 
Sasa unataka aleta taarifa unazotaka wewe?. Acha ukora wewe asee.. ukweli ndio huo.. kilichofanyika ni upuuzi wa viongozi wa simba na Serikali.
sio taarifa hii ninayoizungumzia,JANA mchana alileta taarifa ya kuwa "CAF wakubali yaishe waruhusu uwanja wa mkapa kutumika,kisha jana jioni akateta taarifa hii
 
Back
Top Bottom