Simba wakiifunga Galaxy nipigwe ban

Simba wakiifunga Galaxy nipigwe ban

Sema nimefurahia sana huu ushindi wa Makolo....japo ni kama una element za ubahasha bahasha

Furaha yangu ni kuwa tunapeleka timu mbili ....robo fainaliiiiii

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
lol.

Na vile kesho weekend.... Sijui ka utalala walah.
Cna mda wa kulala mtaniii,
Hivi mtani umemuonaa Chamaaaa? Kuna shabiki wa uto, aliropoka "huyu chama akiwa team 1 na pacome bas unyama sana"

Nkamkata juu kwa juu "na mtamsajiri kila mwaka ila anacheza simba, tutolee uchuro wa majini uchwara hapa"

Watu wote wamecheka had baas, nilikua home, kipindi cha pili nkaenda zangu banda umiza nkasumbue vzuri waja.
 
Back
Top Bottom