shuka chini
JF-Expert Member
- Feb 27, 2024
- 1,549
- 3,088
Habari wadau .
Mimi kama mdau wa soka nimeumia sana kitendo cha mechi kupelekwa zanzibar ni hujuma za wazi kabisa
Yani tff na serikali wamefanya makusudi kujichelewesha kufanya ukarabati ili mechi ipelekwe zanzibar kumfurahisha mama .
Kwa kilichotokea nasema hivi simba nendeni mkakamilishe ratiba mtapigwa kama mbwa na naahidi endapo mtachukua kombe mimi nipigwe ban ya siku tano
Inakera sana na inaudhi mno.Na nyie viongozi acheni wizi mnajua kabisa mechi itakuwa zanzibar ila mnashupaza shingo kutangaza viingilio na watu wametoa pesa zao.
Mwende mkapigwe namimi nasema mpigwe mpaka mchakae pumbavu sana.
Mimi kama mdau wa soka nimeumia sana kitendo cha mechi kupelekwa zanzibar ni hujuma za wazi kabisa
Yani tff na serikali wamefanya makusudi kujichelewesha kufanya ukarabati ili mechi ipelekwe zanzibar kumfurahisha mama .
Kwa kilichotokea nasema hivi simba nendeni mkakamilishe ratiba mtapigwa kama mbwa na naahidi endapo mtachukua kombe mimi nipigwe ban ya siku tano
Inakera sana na inaudhi mno.Na nyie viongozi acheni wizi mnajua kabisa mechi itakuwa zanzibar ila mnashupaza shingo kutangaza viingilio na watu wametoa pesa zao.
Mwende mkapigwe namimi nasema mpigwe mpaka mchakae pumbavu sana.