Simba wahaha kufukia kichwa cha mbuz taifa

Beira Boy

JF-Expert Member
Aug 7, 2016
17,895
25,945
Aman iwe nanyi wapendwa

Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu

Watalam wa uloz kutoka asha fc usiku wa leo wamehaha kufukia kichwa cha mbuz bila mafanikio

Walinz wanaolinda uwanaja wa taifa wamedai wamekuwa wakisumbuliwa sana na kamati ya uloz kutoka matopen fc ili wapate kufukia kichwa cha mbuz lakin wamewazuia

Simba logen sana

Lakin lazima mle kichapo cha kutosha jumamos

Yanga nguvu moja


LONDON BABY
 
Lofa. Uwanja wa taifa mechi gani. Mechi uwanja wa uhuru
 
Yaani simba kwa ushirikina tuu hawajambo, ila jmosi kipigo cha mbwa mwizi kipo pale pale j
 
Huyu mleta mada ni punga achachen nae
Huyu hapa

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…