Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,944
Aman iwe nanyi wapendwa
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Watalam wa uloz kutoka asha fc usiku wa leo wamehaha kufukia kichwa cha mbuz bila mafanikio
Walinz wanaolinda uwanaja wa taifa wamedai wamekuwa wakisumbuliwa sana na kamati ya uloz kutoka matopen fc ili wapate kufukia kichwa cha mbuz lakin wamewazuia
Simba logen sana
Lakin lazima mle kichapo cha kutosha jumamos
Yanga nguvu moja
LONDON BABY
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Watalam wa uloz kutoka asha fc usiku wa leo wamehaha kufukia kichwa cha mbuz bila mafanikio
Walinz wanaolinda uwanaja wa taifa wamedai wamekuwa wakisumbuliwa sana na kamati ya uloz kutoka matopen fc ili wapate kufukia kichwa cha mbuz lakin wamewazuia
Simba logen sana
Lakin lazima mle kichapo cha kutosha jumamos
Yanga nguvu moja
LONDON BABY