Simba vs Yanga: Oct 03, 2012

Half time...ila kiukweli simba wana nafasi ya kuondoka na point zote 3...kingine mpira hauonekani vizuri, kutokana na rangi yake, cku nyingine watumie mweupe. Huu wa njano unataka kufanana na rangi ya pitch. Mi naangalia super sports 9
 
Half time...ila kiukweli simba wana nafasi ya kuondoka na point zote 3...kingine mpira hauonekani vizuri, kutokana na rangi yake, cku nyingine watumie mweupe. Huu wa njano unataka kufanana na rangi ya pitch. Mi naangalia super sports 9
Next time watatumia mpira mwekundu.
 
Half time...ila kiukweli simba wana nafasi ya kuondoka na point zote 3...kingine mpira hauonekani vizuri, kutokana na rangi yake, cku nyingine watumie mweupe. Huu wa njano unataka kufanana na rangi ya pitch. Mi naangalia super sports 9

sie wa Star Tv alaaa mpira unaonekana mweupeee si unajua DSTV ni HD?
 
Huyu Linesmen ****** sana offside gn ile
 
Yanga wanajitahidi sn kucheza ofside hata goli lao ni la ofside
 
....5-0 inaendelea kubaki kuwa Historia; Yanga kulipa kisasi ni ndoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…