Simba vs Yanga: Oct 03, 2012

What a miss by Didier Kavumbangu.....

Kazi nzuri Mbuyu Twite
 
Naona Frank Domayo tangu aingie kabadilisha mchezo wa Yanga.........

Hamis Kiiza alikuwa anakimbiakimbia tu uwanjani
 
Yanga wanapoteza nafasi nyingi sana!
 
ngasa kaanza kuboa anajiangusha sana kweli ngasa yanga damu..
 
Utabiri wa mtabiri unakaribia kuwa kweli
 
Yanga wanapata penalty!
 
Dakika ya 65 Said Buhanuzi anaipatia Yanga goli

Yanga 1-1 Simba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…