Simba vs Yanga: Oct 03, 2012

SMU

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2008
Posts
9,613
Reaction score
7,901
Asante sana StarTv Radio Free Africa Tanzania*|* STARTV LIVE

updates:
Simba 1 - Yanga 1
- Goli la simba limefungwa dk ya 4 na Mchezaji Amri Kiemba, Goli la Yanga limefungwa na Bahanuzi katika dakika ya 65 ya mchezo kwa njia ya penalty

Redcard: Dakika ya 80, yanga sasa wanacheza 10 uwanjani:
Simon Msuva analambwa Red.......

Dakika ya '90', bado 'ngoma droo' - dakika 5 zimeongezwa.

Mpira umekwisha, Simba 1 - Yanga 1. Angalau sasa kutakuwa na amani pale 'jangwani'!
 
Wadau mbona kimya kingi? Mechi imeanza au bado. Je kuna link yoyote ya ku - access mechi? Leteni matokeo
 
Yanga kama hamuwajui wachezaji wa Simba someni tu Jezi zao Nyuma. Leo lazima muanze kati sana.
 
Kipute kimeanza, simba wameanza kwa kasi.
 
Goooooooooooooooooooooooooooo simba 1 yanga 0 yale ya 5bila yatajirudia leo
 
Amri Kiemba kaanza, leo tano zinanukia.
 
Kama nilivyosema Leo Yanga wataaaanza sana kati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…