Simba Vs Yanga kutoa Sare 1-1 kesho April 20, 2024

Simba Vs Yanga kutoa Sare 1-1 kesho April 20, 2024

Mstahiki Mea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
5,611
Reaction score
10,173
Kitawaka kesho wakati miamba miwili ya Soka la Tanzania Simba watakiwasha Dhidi ya Yanga. Mchezo ukipita ulimalizika kwa Yanga kuibuka na ushindi mnono, lakini hiyo kesho tutarajie mchezo huo kukamilika kwa Sare hasa sare ya goli moja kwa Moja
 
Kitawaka kesho wakati miamba miwili ya Soka la Tanzania Simba watakiwasha Dhidi ya Yanga. Mchezo ukipita ulimalizika kwa Yanga kuibuka na ushindi mnono, lakini hiyo kesho tutarajie mchezo huo kukamilika kwa Sare hasa sare ya goli moja kwa Moja
Aiseeeee.....
 
Tarehe 20 mwezi wa 4 2024 kila namba inagawanyika kwa 2 upo sahihi mkuu.
 
Back
Top Bottom