The Magnificent
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,694
- 1,250
Jambo afande?
afu kumbe we jamaa yeboyebo,me nikadhani mwenzetu! Ebo!
Jambo afande?
aman sana mnyama, kafunga nan?
Good News comred.Simba 2 na URA 1 dakika ya 78
afu kumbe we jamaa yeboyebo,me nikadhani mwenzetu! Ebo!
Messi na Cannavaro!😀
teh teh teh teh...#kandambili
Jambo afande?
Kwani wewe ni mgeni hapa JF hata umfananishe Makoye Matale na mashabiki wa mikia? Umeniharibia siku ya leo, hata hivyo tayari nimeoga mara saba kuondoa nuksi hiyo.
Huwa hafuati mkataba huyo, Uarabuni kaondoka akiwa na mkataba, Yanga kaondoka akiwa na mkataba sembuse wachovu Simba! Azam wakijipendekeza atapoketi chake kama kawaida. Namshauri awe anatembea na mavazi ya bullet proof.
Kwani wewe ni mgeni hapa JF hata umfananishe Makoye Matale na mashabiki wa mikia? Umeniharibia siku ya leo, hata hivyo tayari nimeoga mara saba kuondoa nuksi hiyo.
mhola nkoiiiii
mnazingua bwana kama vipi hamia FacebookJambo, mhola ya Sebha ili nyingi. Yombaga ya ng'hana; ng'wakindaga nulu ng'watwenhyiyagwa?
mnazingua bwana kama vipi hamia Facebook