Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Okwi na Kiongera walikuwepo???
Full Time: Simba 0-1 URA. Poleni sana Mikia. Asanteni sana URA kwa kutuliza hali ya hewa, sebho URA!
Full time
Simba 0:1 URA
Okwi na Kiongera walikuwepo???
Angalau mji utatulia ukichukulia kuna mechi inayofuata ya ngao ya hisani...
Kumpiga teke Chura ni kumwongezea Safari.Kama wangeshinda leo pangechimbika Mjini sasa ni kimya kikuu na majonzi mengi. Kesho watakipiga na Ndanda FC huko Mtwara, watapoza maumivu huko kwa vibonde wenzao.
Daaah! Mechi y kirafk Ligi bado lakini simba 2po vzur ndoo yetu msimu huu.
Simba 2 na URA 1 dakika ya 78
Huwa hafuati mkataba huyo, Uarabuni kaondoka akiwa na mkataba, Yanga kaondoka akiwa na mkataba sembuse wachovu Simba! Azam wakijipendekeza atapoketi chake kama kawaida. Namshauri awe anatembea na mavazi ya bullet proof.
Uandishi wa namna hiyo unafanana sana na wa mtu mmoja anaitwa MAHAMOUD ZUBEIRY a.k.a KANJANJA.....eti hapa mess akiwapiga chenga mabek wa URA!!!Ningekuwa nina dhamana katika sekta ya habari lazima ningetengeneza mpango wa kuhakikisha Waandishi wanaokuwepo kwenye sekta ni wale wenye hiyo taaluma na kuthibitisha ueledi wa hali ya juu katika hiyo kazi yao.......Mwandishi licha ya kutoa habari kwa picha zenye mwelekeo mmoja tu lkn still bado habari yake chini ya hizo picha zinakwenda kinyume na uhalisia,mtu amekazana "Kisiga akimlamba chenga nani sijui,Kisiga akipasua katikati ya msitu wa mabeki,Kiemba akimpiga kanzu nani sijui,Chanongo aki'overlap....Ivo akimpiga dariz mshambuliaji wa team pinzani baada ya kuzuia shambulio" etc,etc....sasa najiuliza ma'dariz,matobo na makanzu yote hayo mbona wamefungwa?