Huo mfano wako hau-relate kabisa na uhalisiayule baharia anakamata mguu nyumbu wa kg 150,anamrudisha kwenye maji kwa kumrusha,nyumbu anasalimu amri.
ijekuwa jaguar ambaye akiwa kazipatia pesa anafika kg 70 tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni mdau mkubwa sana wa maswala ya wanyama na ndege nimependa maelezo yako umeeleza kwa kujiamini sana.Simba sio mkubwa kama Tiger
Kiasili Tiger wanapatikana Asia na Ulaya Mashariki ambayo ni Russia na Tiger wakubwa kbsa wanapatikana Siberia
Tofauti na wa india na kadhalika
Kwenye sifa za kuwinda
Simba ndio paka ambao wanawinda kwa ushirikiano tofauti na jamii nyingine ya paka
Kwenye kupiga simba Tiger wa umri mmoja
Kwanini simba atashinda na Tiger atashindwa
Simba anapigana kwa kutumia mguu mmoja wa mbele na kusimama kwa mitatu iliyobaki wakati Tiger yeye anapigana kwa miwili kwa wakati mmoja na miwili ya nyuma anasimamia
Simba kwenye mapigano anamoyo wakupigana mpaka kifo atakama anajua anashindwa lakini Tiger hanauwezo huo wakupigana kwa muda mrefu
Simba dume ana mane nywele za pale shingoni ile nisilaha tosha kwake inamkinga zidi ya Adui wakati Tiger hana hizo
Simba kwa kimkakati anauwezo mkubwa sana wakumpiga Tiger kuliko mikakati ya Tiger kwakuwa Tiger sio mvumilivu kama simba
Ukitaka kujua Roho ngumu ya simba ..Dume moja la simba lipo tayari kupigana na madume manne akijua kbsa hanauwezo ila analinda Heshima yake mpaka umauti unamkuta ,kwa hiyo simba amepewa sifa za ziada ambazo nitofauti na paka wengine
Pia tambua simba anaona usiku mara nane ya binamu kwa usiku
Tambua kuwa simba Dume anapounguruma sauti yake inasikika mile 8
Tambua pia simba nipaka wanaoishi kaya ambapo wapo mashangazi mabibi mama na watoto mabinamu na Baba zao na ni mwiko mwanaume kumpanda Mama au Dada yake tofauti na paka wengine
Pia tambua simba ndio paka pekee ambao wakiamua leo wale mnyama wanayemtaka wanafanya hivyo mfano tembo twiga nk
Simba jike watoto wao wanaruhusiwa kunyonya kwa mama yoyote wakaya yao na mtoto analindwa na kina mama wote atakama sio wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo mfano wako hau-relate kabisa na uhalisia
Inaonekana hujawahi ona hata ma bodybuilder wanaonyanyua heavy weight vilivyowazidi wao
Simba dume hana uwezo mzuri wa kuwinda kutokana na kuwa na vichwa vikubwa hivyo kukosa mwendo mzuri. Ila kwa wana nguvu nyingi sana, bila madume haya ni ngumu kwa masimba jike kuua nyati, twiga au tembo. Pia ni vizuri kuweka record sawa kuwa Simba ndie mnyama anayeongoza kwa kuwa na mwili ambao sehemu kubwa ni misuli, ndio maana unaambiwa simba dume ana uwezo wa kusukuma tani moja kwa mguu mmoja.We jidanganye na stori za mtaani eti simba dime hajui kuwinda, siku ukiingia kwenye 18 zake ndo utajuta
Hawa Jaguar anakula vile vimijusi vinavyofanana na mamba (Caiman), nadhan havina hata kilo mia moja, Jaguar akijichanganya kwa Nile crocodile siku hiyo hiyo anakutana na Israel. Nile crocodile anafikia hadi tani moja na akiwa na one of the strongest bites in the animal kingdom.Kabisa, watu wanacheza na mamba ndani ya maji.
Mamba huyuhuyu atolewe na tiger kwenye maji? Huu sasa ni utani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati mwingine wanyama wana mgawanyo wa kazi, kazi ya simba dume ni ulinzi na hili huwa analifanya vizuri.Huyo kawa overrated sana na hiyo inatokana na ile mikwara ya sauti yake
We jifikirie tu, anaitwa lion king mara king of the jungle lakini hata kuwinda halijui lenyewe kula kulala tu kazi zote za uwindaji limemuachia demu wake
Mpaka hapo tayari simba dume hapaswi kuitwa king of the jungle wakati ni kibenten yani analelewa
Mkuu hata huyo caiman unaemuongelea sidhan kama ni rahisi kumuwinda kama anavyofanya jaguar. Nafikiri bado jaguar anastahili sifa yake.Hawa Jaguar anakula vile vimijusi vinavyofanana na mamba (Caiman), nadhan havina hata kilo mia moja, Jaguar akijichanganya kwa Nile crocodile siku hiyo hiyo anakutana na Israel. Nile crocodile anafikia hadi tani moja na akiwa na one of the strongest bites in the animal kingdom.
Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀Kuna wanaume pia wamekuwa kama Simba dume.Simba dume ndo kabisa hata kuwinda halijui lenyewe kula kulala tu kazi zote limemuachia shemu
Nimependa maelezo haya. Yamechambua vizuri nguvu na udhaifu wa kila mmoja katika aina hizi za paka. Ni kweli Simba hana mzaha linapokuja suala la kupambana. Huwezi ukamtoa nduki kama unavyoweza kufanya kwa Tiger and the like. Utamuua akijilinda huku akitafuta uwezekano wa kukumaliza na wewe
Ila nina swali moja mkuu. Umesema Simba ndio mnyama wa aina ya paka anaewinda kwa pamoja. Je mbwa mwitu hawako kwenye kundi hili maana wao haswaa ndio wawindaji kwa group
Shukran sana kwa elimu hiiMbwa mwitu SI jamii ya paka. Yaani hawa undugu na Paka. Siyo Ukoo mmoja.
Simba dime ndo Simba gani au Simba wa buzaWe jidanganye na stori za mtaani eti simba dime hajui kuwinda, siku ukiingia kwenye 18 zake ndo utajuta
kwani mbwa mwitu ni jamii ya paka? au wewe unatumia kigezo gani kuwaweka katika jamii ya paka? miguu minne?Nimependa maelezo haya. Yamechambua vizuri nguvu na udhaifu wa kila mmoja katika aina hizi za paka. Ni kweli Simba hana mzaha linapokuja suala la kupambana. Huwezi ukamtoa nduki kama unavyoweza kufanya kwa Tiger and the like. Utamuua akijilinda huku akitafuta uwezekano wa kukumaliza na wewe
Ila nina swali moja mkuu. Umesema Simba ndio mnyama wa aina ya paka anaewinda kwa pamoja. Je mbwa mwitu hawako kwenye kundi hili maana wao haswaa ndio wawindaji kwa group
Mimi sijawaita mbwa mwitu kua ni jamii ya paka. Ukisoma vizuri post yangu utaona kua nilikua nauliza swali kutaka kueleweshwa na nashukuru kuna wadau wamenielewesha katika post zilizopita kuhusu baadhi ya wanyama wawindao kma hao mbwa mwitu kutokua kwenye kundi la pakakwani mbwa mwitu ni jamii ya paka? au wewe unatumia kigezo gani kuwaweka katika jamii ya paka? miguu minne?
na ni miongoni mwa sifa zilizomfanya kuitwa king of a jungle,Wakati mwingine wanyama wana mgawanyo wa kazi, kazi ya simba dume ni ulinzi na hili huwa analifanya vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
caiman ni mamba mdogo tu,na anaowawinda jaguar hawafiki hata kg 50 asingeweza hata kuwaburuza.Mkuu hata huyo caiman unaemuongelea sidhan kama ni rahisi kumuwinda kama anavyofanya jaguar. Nafikiri bado jaguar anastahili sifa yake.
Upo sahihi Mkuu.caiman ni mamba mdogo tu,na anaowawinda jaguar hawafiki hata kg 50 asingeweza hata kuwaburuza.
sasa ukiangalia video zake,jaguar anakamata shingo halafu ananyanyua na kuondoka. yaani akishiba vizuri huyo mdudu kitendo cha kumshika shingo huwa anageuka mzima mzima kama anakataa hivi hilo swala,fikiria ni kg 100 zinageuka kwa kasi ile,lazima jaguar agairi na kuamua kula mboga ya majani siku hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
😅😅😅😅😅ila watu ... ale mboga za majani aisee🤣🤣🤣🤣🤣uzi ufungwe tu maana watu wanachanganya mambocaiman ni mamba mdogo tu,na anaowawinda jaguar hawafiki hata kg 50 asingeweza hata kuwaburuza.
sasa ukiangalia video zake,jaguar anakamata shingo halafu ananyanyua na kuondoka. yaani akishiba vizuri huyo mdudu kitendo cha kumshika shingo huwa anageuka mzima mzima kama anakataa hivi hilo swala,fikiria ni kg 100 zinageuka kwa kasi ile,lazima jaguar agairi na kuamua kula mboga ya majani siku hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hujui kuwinda, kulinda utalinda vipi?Wakati mwingine wanyama wana mgawanyo wa kazi, kazi ya simba dume ni ulinzi na hili huwa analifanya vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Teh tehKama hujui kuwinda, kulinda utalinda vipi?
Simba dume kawa mama wa nyumbani, daily anashinda na vitoto ana dimba nao wakati demu wake anataabika huko kuwinda
Anaeongelewa kuwindwa na jaguar wa south Asia (Amazon river) sio mamba bali anaitwa Caiman ni kama mamba lakini wao ni wadogo hata kwa binadamu hawana shuguri.Harafu anakuja mtu anakwambia kuna mnyama anaweza akatoa hiki kiumbe kwenye maji.
Sent using Jamii Forums mobile app