Simba vs Tiger

We jidanganye na stori za mtaani eti simba dime hajui kuwinda, siku ukiingia kwenye 18 zake ndo utajuta
Simba dume hajui kuwinda na sio kwamba kwasababu hajui kuwinda basi hajui kujilinda pindi atapoona alama ya hatari mbele yake

Anaweza kumshambulia mtu kama self defense tu katika harakati za kujiokoa yeye na sio kwamba kumshambulia kama ni mpango wake wa kuwinda
 
nyie ndo kwenye essay tunasema umeenda op kila kitu hahahah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante Sana mkuu, hapo kwny kupambana mpaka tone la mwisho NAMKUBALI SANA SIMBA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbwa mwitu sio paka mkuu, we mwenyewe ushasema "mbwa" sa anakuaje paka, mengine Google tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mamba ni tishio kwa wavuvi na wanyama wazembe wazembe kama simba

Unapozungumzia tiger ni mnyama mwingine kabisa mwenye special skills katika mission zake
Huyo tiger hana ishu yoyote ni kubwa jinga, jitu zembe kama nini, japo lina mwili mkubwa!

Huyo tiger mlete mto ruaha asozege pua yake,wala asiingie majini ajilengeshe hata pembeni ya mto aone shughuli yake!..atachapwa mkia mmoja, kwisha habari yake huyo tiger wako unayemsifia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu,hapa umechanganya madesa, umezungumzia tiger,leopard na jaguar.
Tiger hawindi kwenye maji, Yule mnyama unaona anawinda kwenye maji na jaguar,Kuna tofauti Kati ya jaguar na leopard, pia yule unaenuona anawindwa anafanana na mamba, sio mamba anaitwa caiman, Kuna tofauti Kati ya croc na caiman.
 
Tiger utamfananisha na huyo simba anayelelewa na demu wake ambaye ni mzee wa kula kulala?

Uhatari wa simba uko midomoni mwa watu kwa namna ambavyo mnamkuza ila kiuhalisia ni useless kabisa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…