Mpira umeisha. Matokeo. Simba1-Es stif 3. Hivyo matokeo kwa ujumla 3-3. Kutokana na goli la ugenini Simba wapeta. Source Masako I tv
Hongera Simba, bahati ni yenu leo ingawa mpira haukuwepo kabisa
tumewainamisha waarabu! Simba bana...raha kweli!Simba simba simbaaaaaaaaaaaa kama chadema
Naona kuna watu wamekimbia hapa ghafla
Kweli huyo jamaa halafu yuko kwenye Timu ya Taifa. Ila ukiangalia utaona yule mwarabu alikuwa anakitafuta kiwiko mana alikuwa kamsogelea kifitina hivi. Lakini kwa vyovyote vile Nyosa alipaswa kuwa mpole. Tungetolewa hivi hivi kwa kosa lisilo na maana.Hilo bao la mita 25 refa hawezi kulikataa kwa kizingizio chochote. Kudos wana Msimbazi!
Hata hivyo Juma Nyoso asiachwe hivi hivi bila adhabu ili kujenga nidhamu ya timu.
Yaelekea Hutumii Nduki Broooooaaadband!!Mbona kama hiyo channel haiko hewani?
Hongereni mmefuzu,Mtacheza na nani tena tujiandae kununua jezi?