Simba (Tanzania) vs Ahli Shandy (Sudan)

Simba (Tanzania) vs Ahli Shandy (Sudan)

543230_369957486390522_100001288210100_1120245_1867308440_n.jpg

St Ivuga uko wapi? Umeshafika Heglig saa hizi? Naona uko njiani kuelekea Khartoum na kesho utawasili Shandy!
 
St Ivuga uko wapi? Umeshafika Heglig saa hizi? Naona uko njiani kuelekea Khartoum na kesho utawasili Shandy!
huyo ni mjinga mmoja eti alitabiri hayo matokeo ndio maana nimemkumbusha na akae mbaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
mbona unaleta tabia ya TUNTEMENKE.

simba hakika mmenikuna sana....kama Arsenal vile tup tup tup...gonga kama za barca....Big up mnyamaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Hongera sana SIMBA, You derserve it, juhudi zenu tumeziona uwanjani.

Mje mtupe raha na siku ya Yanga, ikiwezekana wapigeni hata 6 hivi yuchukue ubingwa huku tukiwa tunaendelea kung'ara kinataifa.

Bravo SIMBA SC
 
Mkuu unachosema ni kweli kabisa, nilichokukumbusha mimi ni kwamba Mnyama akipita hapa hatacheza kwenye makundi moja kwa moja badala yake atacheza losers kwenye ligi ya mabingwa, nikakupa na mfano mwaka jana Simba alifika hatua ya tatu ligi ya mabingwa, hatua ya kwanza alicheza na timu ya ushelisheli kama sikosei akaitoa akacheza na tp mazembe hatua ya pili akatolewa lakini tp mazembe alikuwa disqualified ndipo simba akafika hatua ya tatu na alicheza na wydad mechi moja ilipigwa Egypt, simba akatolewa ndo akaangukia kwenye kombe la caf akacheza na dc motema pembe, labda nikuulize alicheza na wydad mashindano gani na akacheza na dc motema pembe mashindano gani?
siyo kweli simba walicheza na wydad baada ya kushinda rufaa yao na tp mazembe. Tp mazembe ndiyo walipanswa kucheza na wydad na ilikuwa champions league na siyo kombe la washindi. Katika rufaa hiyo simba iliamriwa wacheze na Wydad mchezo mmoja tu katika kiwanja cha ugenini ambapo mchezo huo ulichezwa Egypt. Vile vile katika hukumu hiyo aliamriwa kuwa endapo wataenda sare basi zitapigwa penati. Fuatilia kumbukumbu mkuu.

maelezo zaidi haya hapa au soma mwenyewe hapa BBC Sport - Wydad v Simba venue decided

[h=1]Wydad v Simba venue decided[/h]
_52829364_champslgetrophy226.jpg
Simba and Wydad are both still in the hunt for the Champions League
Tanzania's Simba and Wydad Casablanca of Morocco will face each other in Egypt for the right to go into Group B of the African Champions League.
The Tanzania Football Federation (TFF) say the game will be played on 28 May at the Petro Sport stadium in Cairo.
The TFF also said the game will go straight to penalties if the two sides are level after 90 minutes
The play-off will decide who replaces champions TP Mazembe of DR Congo who were disqualified from the tournament.
It is still unclear when and if the Confederation of African Football (Caf) will hear Mazembe's appeal over the punishment.
Mazembe were thrown out of the Champions League for fielding an ineligible player in their 6-3 aggregate win in the second round of the tournament.
Mazembe then went onto beat Wydad Casablanca 2-1 in the third round before their disqualification.
The winners of the play-off will join Egypt's Al Ahly, Tunisia's Espernace, Algerian side Mouloudia Alger in Group B of the event.



 
ni kweli kabisa usemayo masuke, simba anatakiwa akishinda acheze na loser wa champr league

Mkuu unachosema ni kweli kabisa, nilichokukumbusha mimi ni kwamba Mnyama akipita hapa hatacheza kwenye makundi moja kwa moja badala yake atacheza losers kwenye ligi ya mabingwa, nikakupa na mfano mwaka jana Simba alifika hatua ya tatu ligi ya mabingwa,
 
wakuu mechi ndo hiyo soon itaanza. mlio uwanjani kumbukeni kuchangia furaha yenu hapa ili tulioko mashambani tufaidike.

UPDATES:

Dakika ya 30: Simba 0 - 0 Ahli Shandy
Dakika ya 38: Simba 0 - 0 Ahli Shandy (Simba wamekosa Penalti)
Half Time: Simba 0 - 0 Ahli Shandy
Dakika 66: Simba 1 - Ahli Shandy (Haruna Moshi)
77min: Simba 2 - 0 Ahli Shandy (Mafisango)
88min: Simba 3 - 0 Ahli Shandy (Okwi)
FT: Simba 3 - 0 Ahli Shandy

Hongera Simba, Hongera wanazi wote wa Simba!

SIMBA Hoyeeeeeeeeee......!!!!!!!!!!!!
 
Al Ahly timu piga simba bao 8 bila.Salamu ziwafikie Ismail Aden Rage na wachukia simba wote.Mungu ibariki Al ahly.

Dua yako haikukubaliwa! Siku nyingine usisimame na vibonde, mkipigwa mnapigwa wote!
 
wakuu mechi ndo hiyo soon itaanza. mlio uwanjani kumbukeni kuchangia furaha yenu hapa ili tulioko mashambani tufaidike.

UPDATES:

Dakika ya 30: Simba 0 - 0 Ahli Shandy
Dakika ya 38: Simba 0 - 0 Ahli Shandy (Simba wamekosa Penalti)
Half Time: Simba 0 - 0 Ahli Shandy
Dakika 66: Simba 1 - Ahli Shandy (Haruna Moshi)
77min: Simba 2 - 0 Ahli Shandy (Mafisango)
88min: Simba 3 - 0 Ahli Shandy (Okwi)
FT: Simba 3 - 0 Ahli Shandy

leo simba wamenipa raha kweli kweli
 
Mafisango ameenda kushangilia bao lake mbele ya washabiki wa timu ya Wazee, anawaomba washangikie lkn wamemchinia na kumkodolea macho kwa hasira.

Si walizomea alipokosa penalt? Ha ha ha haaaaa...!!!!
 
Al Ahly timu piga simba bao 8 bila.Salamu ziwafikie Ismail Aden Rage na wachukia simba wote.Mungu ibariki Al ahly.
Pole. Dua la kuku halimfikii mwewe. Imekula kwenu kwani mnyama kamrarua shoga yenu mapande matatu na hivi nisemavyo karamu imekwisha. Simba 3; Marafiki wa wanyonge (Yanga) 0.
 
Back
Top Bottom