Simba (Tanzania) vs Ahli Shandy (Sudan)

sipendi hawa watangazaji wa star tv na kiss fm, wanajifanya wao wanajua kila kitu kuhusu mpira. Ingieni basi na nyie tuwaone mtakavyokata mawowowoo yenu.
Mpira hauko hivyo kama mnavyofikiria.
 
Mafisango ameenda kushangilia bao lake mbele ya washabiki wa timu ya Wazee, anawaomba washangikie lkn wamemchinia na kumkodolea macho kwa hasira.
 
Back
Top Bottom