Chipolopolo
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 1,425
- 725
Aungurumapo simba mcheza nani...?Hongera sana wana-Simba!
Safi sana mnyama...hongereni sana kwa ushindi huu mnono,kwa kweli mnastahili na nawaombea mfike nane bora na baadae final na hatimae mchukue ubingwa na kuliletea sifa taifa letu ambalo kila uchao linaporomoka katika viwango vya FIFA...Am proud of you Simba...Kwa pamoja TUNAWEZA....Go Simba go....Nipo pamoja nanyi mpaka mwisho watani zangu
Kwa mara ya kwanza nikiwa shabiki wa Yanga, Nawapongeza Simba.
Al Ahly timu piga simba bao 8 bila.Salamu ziwafikie Ismail Aden Rage na wachukia simba wote.Mungu ibariki Al ahly.
Ha haa, tumewashika pabaya. Kwenye ligi kuu tunawaburuza, na kimataifa tunatesa!! Chezea simba wewe???Kwa mara ya kwanza nikiwa shabiki wa Yanga, Nawapongeza Simba.
66,77,88 dakika ambazo al alhly shendi hawawezi kuzisahau
Mpira umekwisha
SIMBA 3 - 0 AHLY.
Wewe ni mzalendo, wenzako Balantanda na Jackbeur hawataki hata kuchungulia huu uzi.
Safi sana mnyama...hongereni sana kwa ushindi huu mnono,kwa kweli mnastahili na nawaombea mfike nane bora na baadae final na hatimae mchukue ubingwa na kuliletea sifa taifa letu ambalo kila uchao linaporomoka katika viwango vya FIFA...Am proud of you Simba...Kwa pamoja TUNAWEZA....Go Simba go....Nipo pamoja nanyi mpaka mwisho watani zangu
Bao la pili na la tatu yamenikuna.Wewe ni mzalendo, wenzako Balantanda na Jackbeur hawataki hata kuchungulia huu uzi.