kasanga70
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 212
- 489
Ninaangalia mechi ya kujipima nguvu dhidi ya Al Hilal Nina haya niliyoyaona.
1. Timu ina vipasi fulani hivi ambavyo havina impact yoyote.
2. Simba hamna timu ya ushindani tunacheza kitoto sana.
3. Nimependa physic na height ya wachezaji wa All Hilal na hizi ndizo height tunaenda kukutana nazo timu nyingi kimataifa. Sisi wachezaji wetu ni kama wanafunzi fulani hivi hakuna nguvu, ni soft soft tuu, hatari sana.
4. Hawa wachezaji wapya niseme kweeli hakuna hata mmoja ambae ana kitu cha pekee wengi ni wa kawaida sana.
5. Simba haina straika kabisa ukweli ndio huo wala kiungo mkabaji.
6. Tuseme ukweli tuu kocha hamna na tusitegemee kufika popote. Safari hii hakuna kombe tutakaloambulia.
7. Management haijui inahitaji nini ili ipate nini.
Very sorry for Simba 2022/23
1. Timu ina vipasi fulani hivi ambavyo havina impact yoyote.
2. Simba hamna timu ya ushindani tunacheza kitoto sana.
3. Nimependa physic na height ya wachezaji wa All Hilal na hizi ndizo height tunaenda kukutana nazo timu nyingi kimataifa. Sisi wachezaji wetu ni kama wanafunzi fulani hivi hakuna nguvu, ni soft soft tuu, hatari sana.
4. Hawa wachezaji wapya niseme kweeli hakuna hata mmoja ambae ana kitu cha pekee wengi ni wa kawaida sana.
5. Simba haina straika kabisa ukweli ndio huo wala kiungo mkabaji.
6. Tuseme ukweli tuu kocha hamna na tusitegemee kufika popote. Safari hii hakuna kombe tutakaloambulia.
7. Management haijui inahitaji nini ili ipate nini.
Very sorry for Simba 2022/23