Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 28,631
- 82,592
Kweli kabisa. Hawa vibwengo wanataka tu kuivuruga timu yetu.Uzi umekusanya vibwengo wa Utopolo wanalishana upepo tu. Yanga wapuuzi wengi sana
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Sisi mashabiki tuna imani timu yetu msimu huu inaingia nusu fainali, na tutayatetea makombe yote yaliyobakia kwenye ligi kuu msimu huu.