Na tumetoa jezi yenye matangazo ya Mo jersey yote.Kabla ya Kukutana na Yanga tulikuwa Unbeaten na furaha ilikuwepo..!!
Baada ya Kukutana na Yanga
-Tumekula Tano
-Tumefukuza Kocha
-Tume Draw Mechi Ya Leaue
- Now Tumefungiwa Kusajiri.
Yanga Ruined our Club, I hate Yanga Africa Official..
Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
Janja janja wabaki nazo kwenye 10% tu.
Huwa ninashindwa kuacha kuwashangaa mnaoshaabikia hivi vilabu.Ndio maana tunaitwa mbumbumbu kumbe viongozi walikula hela yote
Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
Janja Janja FC.Klabu ya ligi Kuu ya NBC YA Simba imefungiwa kusajili mpaka itakapolipa madai ya Klabu ya Teungueth ya Senegal kuhusu mchezaji Pape Ousmane Sakho.
Uamuzi huo umefanywa na Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (TFF) baada ya klabu hiyo kushinda kesi ya madai dhidi ya Simba kutokana na mauzo ya Sakho. Kabla ya kujiunga na Simba, Sakho ambaye hivi sasa anacheza timu ya Quevilly Reuen Metropole ya Ufaransa alikuwa mchezaji wa Simba.
Klabu hiyo ilifungua kesi FIFA dhidi ya Simba ikidai sehemu ya malipo kutokana na mauzo ya Sakho. Simba ilitakiwa iwe imetelekeza uamuzi huo ndani ya siku 45 tangu ulipotolewa, lakini haikufanyika hivyo.
Wakati FIFA imeifungia klabu hiyo kufanya uhamisho wa wachezaji kimataifa, TTF limeifungia Simba kufanya uhamisho wa ndani.
TTF inazikumbusha klabu kuheshimu sheria, kanuni na taratibu za mpira wa miguu ili kuepusha adhabu mbalimbali, ikiwemo kufungiwa usajili wachezaji
Ni mpaka pale mtakapolipa deni. Mwamedi akilipa hilo deni, na kifungo nacho kinafutwa Bwashee.Huu msimu Simba kama tumerogwa
Naomba niulize hiki kifungo kinaondoka msimu huu utakapoisha au inakaaje hapo?
Wakilipa hiyo hela na faini kifungo kinaondolewaHuu msimu Simba kama tumerogwa
Naomba niulize hiki kifungo kinaondoka msimu huu utakapoisha au inakaaje hapo?
Miquison aliondoka akiwa wa moto,Sakho aliondoka akiwa anakaa benchi,hapo tutavuruganaSakho nae kaenda kujichimbia kaburi
Hajawahi hata kuanza kwenye Hio timu, ameingia sub mechi 2 tu na kacheza dakika 9 Kila mechi... Naona Simba msimu ujao wakiona washabiki Wana hasira watakurupuka kumrejesha kama miquisson