Qatif
JF-Expert Member
- Dec 16, 2014
- 379
- 859
Nyota wa klabu ya Simba Sports, Pape Ousmane Sakho ameitwa kwenye kikosi cha wachezaji 24 cha timu ya Taifa ya Senegal chini ya Kocha Mkuu Aliou Cisse kwa ajili ya mechi mbili za kufuzu AFCON 2023 dhidi ya Mozambique.
Sakho ni mchezaji pekee anayecheza ligi za ndani ya Afrika kuitwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Senegal.
Sakho ni mchezaji pekee anayecheza ligi za ndani ya Afrika kuitwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Senegal.