😁😁😁😁😁😁
Hayo makombe Simba imechukua sana. Simba haijachukua kombe gani kwenye ligi ya Tanzania?
1. African super cup
2. CAF champion league.
Hapa ukicheza ukafika hata makundi wewe ni mwanaume.
Hilo shirikisho hata Ihefu, Namungo, Malumo na KMC wanacheza.
Shirikisho ni kombe la timu walioshika nafasi ya 3 na 4 kwenye league ya nyumbani na waliotolewa CAF Champion league. Ubora wa Yanga tunaupima wapi?
Unateseka ukiwa wapi 😂😂😂😂😂 Ukitaka kuona shirikisho ni kombe la utopolo. Kwenye African Cup Yanga ipo?