Simba SC yapokwa pointi 3 dhidi ya Kagera Sukari

Faki awe na kadi 3 au asiwe nazo, ubingwa unapatikana kwa kushinda uwanjani.Ni aibu kubwa kwa timu iliyofungwa uwanjani eti kulalamikia point za walioshinda as if walichezesha zaidi ya wachezaji 11 uwanjani.

Kama wachezaji 11 wa Kagera walicheza na wachezaji 11 wa Simba na matokeo Simba wakafungwa 2-1, then Kagera wana haki zote za kuchukua point zao.

Ingekuwa aibu sana kwa soka la Tanzania na kwa timu ya Simba kama ingechukua ubingwa kwa msaada wa point za mezani.
yanga imechukuaga mara mbili ubingwa kwa point hizo mbona haikua aibu..acheni unazi bas..ndio mana mnapewa pewa mnaishia kupigwa 4G
Mpira wa bongo nkama lig ya mbuzi auna mvuto wowote ata c fatiriagi lig ya kiboya kama iii
 
Swali la kujiuliza hivi ni kweli mchezaji alipewa kadi tatu? Je TFF wanachukua hatua gani ili kuhakikisha tukio kama hilo halitokei tena huko mbele? Je waliohusika na hilo tukio wanachukuliwa hatua gani?
 
Faki awe na kadi 3 au asiwe nazo, ubingwa unapatikana kwa kushinda uwanjani.Ni aibu kubwa kwa timu iliyofungwa uwanjani eti kulalamikia point za walioshinda as if walichezesha zaidi ya wachezaji 11 uwanjani.

Kama wachezaji 11 wa Kagera walicheza na wachezaji 11 wa Simba na matokeo Simba wakafungwa 2-1, then Kagera wana haki zote za kuchukua point zao.

Ingekuwa aibu sana kwa soka la Tanzania na kwa timu ya Simba kama ingechukua ubingwa kwa msaada wa point za mezani.
Ww hujua Mpira fambaa, Mpira una sheria na kanunu zake
 
Mnatia huruma Simba. Ndo maana Simba kusawazisha dhidi ya Yanga na kuja kumfunga tena Yanga,pamekuwa na amani katika soka letu.
Yaani Yanga angeshinda,angelaumiwa Malinzi na,au Serikali, kwa akili za wanasimba zilivyo.
Wanashindwa kujua kuwa wamechagua viongozi wasanii tu.. We Aveva alivyo tu mtu wa mishe.. Na washkaji zake..
Au huyo Manara,ambaye hadi wazazi wake wamechezea Yanga,na kuipa Yanga umaarufu mkubwa,na ye mwenyewe pia kacheza cha ndimu chake Yanga tena kufikia hatua ya Yanga B..
Chezeni mpira,msilalame,hata mipira ya nje washabiki hawalalamiki kwa vijisababu vidogovidogo nje ya uwanja.

Huwezi kusema Yanga ilichukua makombe misimu miwili iliyopita kwa kubebwa.. Ilikuwa na udhamini mkubwa, wachezaji ghali wakinunuliwa na mishahara minono. (Chirwa-9.6M,wale wengine wa kigeni,wote ni 7.4M)
Si rahisi kushindana na timu kama hiyo.
 
Ukisoma vizuri alichosema mwesiga, utagundua uamuzi huu umetokana na technicalities sio merit, assuming kagera walimchezesha faki akiwa na card tatu za njano, adhabu yao ni nini? Halafu kuna kitu kinanishangaza, hivi hii ni mara ya kwanza timu kupewa ushindi wa mezani?

Ni kweli mkuu, it's all about technicalities, tunachoshangaa na kucheka ni hawa ndugu zetu kupanga hadi kuandamana kwa kitu kama hicho as if walishinda ila wamenyang'anywa points. That's all.
 
18094707_1370794372985897_5179877197749420032_n.jpg
 
Tangu lini Simba wakapata haki chini ya Tifutifu.. Wakae kimya tu
Haki ipi na wao ni wahuni waliogushi documents.... Mechi ilichezwa uwanjani simba akachapwa 2-1 ...haki ipi ya kumnyang'anya aliyeshinda na kumpa aliyefungwa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom