Simba SC yamfukuza kazi kocha wake Logarusic

Simba SC yamfukuza kazi kocha wake Logarusic

Thread Yako Mbona Kama Vile Inanishambulia Kiaina AU Kama Vile Nimekukosea? Tatizo Ni ID Ya MATOLA au Tatizo Ni Ufafanuzi Wa GENTAMYCINE? Na Nilikuwa Na Uhakika Kuwa ID Yako Siyo Ya Comrade Wangu Suleiman Abdallah Matola ( Mzambia / Veron ) Ila Umeamua Kutumia Jina Lake Kwakuwa Unajua Ni Mchezaji wa Kiungo Uliyempenda Na Mwenye Mafanikio Makubwa Simba Sports Club na Hakuna Anayelipinga Hilo. Hata Mimi ID Yangu Ya GENTAMYCINE Nimeichukua Kutoka Kwa Rapa Mkubwa Wa Wenge Musica BCBG Aitwae Gentamycine Lisimo (Le Champion Animateur du Congo ) ambaye Nimetokea Kumpenda Kuliko Maelezo Na Kuna Mwingine Humu Ana ID Ya Roga Roga na Najua Hata Yeye Ameamua Kujiita Hivyo Kutokana Na Mapenzi Yake Kwa Mpiga Solo Maarufu Congo Brazaville wa Kundi La Extra Musica aitwae Roga Roga ( Ibambi Ikombi ) Na Wengineo Wengi tu. Matola Naamini Wewe Ni Mdau wa Soka hivyo Yote Hayo Uliyonitaka Nikamwambie Wajina Wako Ningeomba Ukamwelezee Mwenyewe ILA Nahisi Una Chuki Binafsi Kwa Matola na Simba Yetu Ya Aveva na Yawezekana Wewe Unatoka ktk Kundi Lile La Waliofukuzwa ambao Juzi Uwanjani Mlijitenga na Mkaa Mbali Huku Mkiwa Mmevalia Suti Zenu Nyeusi, Mashati Meusi na Tai Zenu Nyekundu za Asante Kariakoo Mlizoshonewa Na Fundi Wenu Mkuu Wambura.
Mimi nilidhani uko Simba Julio ndio Bingwa wa maneno? kumbe sikujuwa mna hazina kubwa, kwa mtaji huu naona hata Mbwiga wa Mbwiguke kapewa shavu pale clouds si kwa sababu ni bingwa wa kupepeta mdomo, bali na yeye apate udambiudambi kijiweni kungemuuwa kabla ya siku zake.
 
Mkuu, hadi hapo hujaelewa kilichomfukuza Loga? Sitaki kuamini kuwa una akili nzito

Elimu haina mwisho. Ukinielimisha sababu za kufukuzwa kwake nitakushukuru mkuu. Lakini lengo langu ni kujaribu kusema kwamba Soka la bongo halina uvumilivu. Tunataka kocha aje leo kesho achukue kikombe cha ubingwa. Ubingwa ni zaidi ya kocha, kuna mambo mengine nyumayake.
 
Alishinda 8 ,alipoteza 8 na alitoka sare mechi 5..kilichomfukuzisha kama walivosema wadau ni sababu za kimaadili zaidi

Ila record hii kwa timu kama Simba ni mbovu. Licha ya kufukuzwa kutokana na maadili mabovu, ila record yake Simba ina mchango wa yeye kubwagishwa manyanga.
 
Laana ya Patrick Liewig inawatafuna...na mwaka huu mtashika nafasi ya sita kwenye ligi
 
Mimi nilidhani uko Simba Julio ndio Bingwa wa maneno? kumbe sikujuwa mna hazina kubwa, kwa mtaji huu naona hata Mbwiga wa Mbwiguke kapewa shavu pale clouds si kwa sababu ni bingwa wa kupepeta mdomo, bali na yeye apate udambiudambi kijiweni kungemuuwa kabla ya siku zake.

Conlusion Yako baada Ya " ----- Wako Huu Ni Nini " ?
 
Tuliza boli mkuu. Jaalia amepitikiwa.

Mkuu Kuna Watu Humu Wanataka Kunitafutia Ban za Lazima ILA Nimeshawasoma Na Sasa Nimebadili Formation Kutoka ILE Ya Bazazi Loga Ya 4-4-2 Na Sasa Natumia Ya Mgumu Wangu Phiri Ya 3-5-2! Mbwa Ukimjua Jina Hakupi Shida.
 
Mkuu Kuna Watu Humu Wanataka Kunitafutia Ban za Lazima ILA Nimeshawasoma Na Sasa Nimebadili Formation Kutoka ILE Ya Bazazi Loga Ya 4-4-2 Na Sasa Natumia Ya Mgumu Wangu Phiri Ya 3-5-2! Mbwa Ukimjua Jina Hakupi Shida.
Hata kama amepatwa na kichaa?
 
Eti kocha alikuwa anajirusha na mademu wa bongo movies
 
Hakuna Kitu Pale Kocha Gani Asiyekuwa Na Mfumo Maalum? Muda Mwingi Anatumia KUGEGEDA Kuliko hata Kuandaa Chama Letu. Simba Ya Sasa Tunataka Matokeo Kwani Tumeshachoka KUSONONEKA na Hatutaki Masihara. Mnaojifanya Kusikitika na Kufukuzwa Kwa Loga Mnaweza Tu Mkamtafutia Timu Zenu Akazifundisha AU Mkamfuata Huko Aendako ILA Kwa Simba Tumemchoka na Havumiliki! Mdogo Wangu steveachi Nisalimie Sana Bibi Yangu Hapo Morogoro, Wajomba Na Shangazi Zangu Na Waambie GENTAMYCINE Naliendeleza Zangu Humu JF. Nisalimie Chama Langu la Hapo Sabasaba La Burkina Faso FC. Pamoja Sana!

Sana tu mzee wa kazi,sasa hivi sabasaba tuna chama letu jipya kabisa tushalisajiri linaitwa SABASABA UNITED,lipo poa sana,salamu zimefika kaka,one luv
 
Nashukuru mkuu, nilikuwa sijui kama jamaa ni Mzambia kama ulivosema!

Mzambia Ni Jina tu La Utani Alipewa Na Mashabiki Kwa Alivyokuwa Akicheza Jihad Kama Wazambia ILA Matola Ni Muha Halisi Kutoka Mkoani Kigoma Magharibi Mwa Tanzania. Samahani Kwa Kuchanganyikiwa Na Ungekuwa Ni Mdau Wa Mpira Kipindi Kile Cha Uwanja wa Shamba La Bibi Basi Usingekuwa Mgeni wa Jina Hilo La Utani la Matola La " Mzambia ".
 
Sana tu mzee wa kazi,sasa hivi sabasaba tuna chama letu jipya kabisa tushalisajiri linaitwa SABASABA UNITED,lipo poa sana,salamu zimefika kaka,one luv

Hamna Noma Na Nisalimie Shemeji Yangu Na Mwambie Nasubiria Mwanangu..... Kibosongo Junior!
 
Sana tu mzee wa kazi,sasa hivi sabasaba tuna chama letu jipya kabisa tushalisajiri linaitwa SABASABA UNITED,lipo poa sana,salamu zimefika kaka,one luv

Wapenzi Wa Man U Utawajua Tu Kila Kitu Lazima Mbele Kuwe Na UNITED. Sasa Na Mimi Nina Chama Langu La Wagumu na Wabishi Tanzania Nzima Linaitwa UKAWA UNITED na Captain Ni Tundu Lissu!!!!!!!!!!!!!!
 
Wapenzi Wa Man U Utawajua Tu Kila Kitu Lazima Mbele Kuwe Na UNITED. Sasa Na Mimi Nina Chama Langu La Wagumu na Wabishi Tanzania Nzima Linaitwa UKAWA UNITED na Captain Ni Tundu Lissu!!!!!!!!!!!!!!

Hahahahahaaaaaaaaaaa,nimekustukia bro,na wewe ni man uuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu,nilikuwa sijuiii
 
Back
Top Bottom