Simba SC yamfukuza kazi kocha wake Logarusic

Simba SC yamfukuza kazi kocha wake Logarusic

Sijaona kocha hovyo kabisa kama huyu,heri kaondoka
 
Kazi wampe Suleiman Matola waache kutanga tanga .
 
Tanzania siku moja waweke mashindano ya Ngono pale uwanja wa Taifa muone kama hatujaenda wed cup. Soka tuwaachie Kina Maulid Kitenge wakiwa studio baasi utadhani Tanzania tuko vizuri sana kumbe wapi
 
Hii kali man city kapigwa tatu leo na watu wanaendelea kama kawaida.hizi ngozi nyeusi kama tuna laana.simba hawatapata kocha tena kama huyu.manchester walikuwa wanamtaka huyu.

Manchester ya wapi muheza?
 
Tatizo soka la Bongo wanampima kocha kwa mechi moja. Wanashindwa kujifunza kwa Arsene Wenger, Ferguson etc. Kwa mtindo huu Soka la Bongo kukua kufikia viwango vya kimataifa tusahau.

Kaongoza Simba kwa mechi 21
 
Managers are hired to be fired...Simba hawawezi kuvunja mkataba bila sababu..hata hivyo ...amefukuzwa Moyes 'the choosen one' iwe huyo...
 
Ana record mbaya kabisa, afadhari amefukuzwa. Sio mechi ya Zesco iliyomfukuzisha. Ni record yake, mechi ya Zesco ni ushahidi mwingine kwamba hatobadilika. Naupongeza uongozi mpya kwa kufanya maamuzi magumu lakini sahihi.
 
Simba, nyie wehu wote kabisa! Mnafukuza kocha kwa ajili ya mechi ya kirafiki? Katavi, kamata dili hiyo ila ujue mechi yako moja tu kibarua hichoooooooo!

Hahahahaah,,,,,,,mkuu me sitaki presha, hicho kibarua anakiweza julio
 
Tanzania siku moja waweke mashindano ya Ngono pale uwanja wa Taifa muone kama hatujaenda wed cup. Soka tuwaachie Kina Maulid Kitenge wakiwa studio baasi utadhani Tanzania tuko vizuri sana kumbe wapi

Hahahahahaaah,,,,,,,kuna ka ukweli hapa.
 
Hapa ieleweke wazi anayengelewa ni Selemani Matola na siyo Matola wa JF.

Matola wa JF hana muda na mambo ya fitina majungu na zengwe na ndio maana waliojaa kwenye soka la Bongo ni unskills people.

Na wewe nenda kamueleze Suleiman atafute shughuri za kufanya mambo ya Simba amuulize Julio na Kibaden.

Mpaka leo ni wachezaji watatu ndio naona walijitambuwa nao ni Leodgar Tenga, Mwamed Mwameja na Laurence Mwalusako basi. ukocha ni kazi ya watu ambao hawakucheza mpira.

Thread Yako Mbona Kama Vile Inanishambulia Kiaina AU Kama Vile Nimekukosea? Tatizo Ni ID Ya MATOLA au Tatizo Ni Ufafanuzi Wa GENTAMYCINE? Na Nilikuwa Na Uhakika Kuwa ID Yako Siyo Ya Comrade Wangu Suleiman Abdallah Matola ( Mzambia / Veron ) Ila Umeamua Kutumia Jina Lake Kwakuwa Unajua Ni Mchezaji wa Kiungo Uliyempenda Na Mwenye Mafanikio Makubwa Simba Sports Club na Hakuna Anayelipinga Hilo. Hata Mimi ID Yangu Ya GENTAMYCINE Nimeichukua Kutoka Kwa Rapa Mkubwa Wa Wenge Musica BCBG Aitwae Gentamycine Lisimo (Le Champion Animateur du Congo ) ambaye Nimetokea Kumpenda Kuliko Maelezo Na Kuna Mwingine Humu Ana ID Ya Roga Roga na Najua Hata Yeye Ameamua Kujiita Hivyo Kutokana Na Mapenzi Yake Kwa Mpiga Solo Maarufu Congo Brazaville wa Kundi La Extra Musica aitwae Roga Roga ( Ibambi Ikombi ) Na Wengineo Wengi tu. Matola Naamini Wewe Ni Mdau wa Soka hivyo Yote Hayo Uliyonitaka Nikamwambie Wajina Wako Ningeomba Ukamwelezee Mwenyewe ILA Nahisi Una Chuki Binafsi Kwa Matola na Simba Yetu Ya Aveva na Yawezekana Wewe Unatoka ktk Kundi Lile La Waliofukuzwa ambao Juzi Uwanjani Mlijitenga na Mkaa Mbali Huku Mkiwa Mmevalia Suti Zenu Nyeusi, Mashati Meusi na Tai Zenu Nyekundu za Asante Kariakoo Mlizoshonewa Na Fundi Wenu Mkuu Wambura.
 
Hahahaaaaa,Kwa nini mkuu?

Hakuna Kitu Pale Kocha Gani Asiyekuwa Na Mfumo Maalum? Muda Mwingi Anatumia KUGEGEDA Kuliko hata Kuandaa Chama Letu. Simba Ya Sasa Tunataka Matokeo Kwani Tumeshachoka KUSONONEKA na Hatutaki Masihara. Mnaojifanya Kusikitika na Kufukuzwa Kwa Loga Mnaweza Tu Mkamtafutia Timu Zenu Akazifundisha AU Mkamfuata Huko Aendako ILA Kwa Simba Tumemchoka na Havumiliki! Mdogo Wangu steveachi Nisalimie Sana Bibi Yangu Hapo Morogoro, Wajomba Na Shangazi Zangu Na Waambie GENTAMYCINE Naliendeleza Zangu Humu JF. Nisalimie Chama Langu la Hapo Sabasaba La Burkina Faso FC. Pamoja Sana!
 
Huyu mnafiki Binti Zuber Yanga ndio wangekuwa ndio wamefukuza kocha,angeandika kinafiki sana
 
Tatizo soka la Bongo wanampima kocha kwa mechi moja. Wanashindwa kujifunza kwa Arsene Wenger, Ferguson etc. Kwa mtindo huu Soka la Bongo kukua kufikia viwango vya kimataifa tusahau.
Mkuu, hadi hapo hujaelewa kilichomfukuza Loga? Sitaki kuamini kuwa una akili nzito
 
Na bado mtaisoma mwaka huu

Wewe Jidanganye Tu Na Wale Mazeruzeru Wako Wawili................. Simba Hii Yenye Striking Force hii Tambwe, Modo Kiongera Na Maguli Ukipona pona Sana Nakutandika 8 Na Hapo bado Sijakutajia Udambwidambwi Wa Sehemu Nzima Ya Midfield Ambako Kuna Wataalam Wote Wa Pasi Zetu Zila Za " Shikamoo..... Marahaba " Kwizera na Kisiga Huku Pembeni Nikikuwekea Viberenge Singano na Uhuru Na Mashavuni Kuna Banda Na Lucien Na Mlango Ukifungwa Na Mgeveke Na Nahodha ( Mathematician / Fundi ) Joseph Owino Na Golini Kuanzia Sasa Atakuwa Anakaa Shariff Kwani Ivo bado Anatutesa Kwa Mipira Ya Cross. Simba Hii UTAITAKA na UTAIPENDA Kwani Anayeanza Na Anayeingia Wote Ni Kiboko Na Usisahau Hapo Sijakiweka Kikosi Kingine. Mnatucheka Sisi Kukoga za Juma Nature ( Tatu Bila ) Kwa ZESCO? Kama Nyie Wanaume Kweli Mbona Mmechungulia Na Mmechomoa Kwenda Kwa Baba Kagame? Mjiandae Kukamatwa Na Watu za Haki za Binadamu Kwani Mmewaiba Albino Brazil!
 
Wiki iliyopita Tukiwa Sinza Matola alituambia Jambo ila Tukawa Tunafanya Mzaha na Kwa Muda Mrefu Sana Nahodha Owino alikuwa Akiniambia Kuwa Simba haina Kocha Nikawa namkatalia na Alinipa Sababu Kadhaa ILA Kubwa ni Kwamba ANAPENDA SANA KUGOMBEA MABINTI na WACHEZAJI Wake Na UKIMZIDI TU KWA HUYO DEMU basi UTACHUKIWA na KUYAOGA MATUSI Yake Na Ukifanya Masihara UNAWEZA HATA KUPIGWA NGUMI na Pia Hajui Kufundisha na Hana Mbinu na Anabahatisha Kiufundishaji Na Ni Jana Tu Nikiwa Uwanjani Taifa NAKUMBUKA MANENO YA MZEE Wetu Juma Mnonji Kuwa TOKEA AANZE KUWA MWANA SIMBA TOKEA ENZI ZA Sunderland na Sasa Simba Sports Club hajawahi Kuona Kocha MBOVU na MSANII Kama Logarusic. Kikubwa Zaidi Kilichomsibu Loga Haswa Jana Ni Kitendo Chake Cha KUWATUKANA WACHEZAJI Matusi Ya NGUONI ktk Dressing Room Huku Akitaka Kuwapiga Baadhi Kama Baba Ubaya, Uhuru na Banda Na Isingekuwa Busara Ya Matola Angewapiga Kweli. Na Ikumbukwe Pia Kuwa Logarusic Alikwishaonywa Kuhusiana Na Tabia Zake Hizo Na Kibaya Zaidi Anapenda Mno Starehe Na Vibinti Vidogo Vidogo huku Akishindwa Kuwa Responsible Kama Coach au Manager wa Klabu Kubwa. Kuna Uwezekano Milovan au Kikieleweka Patrick Phiri au Kocha Kutoka Kusini Mwa Afrika Akaja ila kwa Sasa Mzambia MATOLA Ndiyo Caretaker. Binafsi Napongeza Kutimuliwa Kwake kwani Dhahama Kubwa Ingetukumba huko Mbeleni.

jinsi ulivyoandika ni ngumu kukutofautisha na kocha wenu mliyemfukuza!
 
Wiki iliyopita Tukiwa Sinza Matola alituambia Jambo ila Tukawa Tunafanya Mzaha na Kwa Muda Mrefu Sana Nahodha Owino alikuwa Akiniambia Kuwa Simba haina Kocha Nikawa namkatalia na Alinipa Sababu Kadhaa ILA Kubwa ni Kwamba ANAPENDA SANA KUGOMBEA MABINTI na WACHEZAJI Wake Na UKIMZIDI TU KWA HUYO DEMU basi UTACHUKIWA na KUYAOGA MATUSI Yake Na Ukifanya Masihara UNAWEZA HATA KUPIGWA NGUMI na Pia Hajui Kufundisha na Hana Mbinu na Anabahatisha Kiufundishaji Na Ni Jana Tu Nikiwa Uwanjani Taifa NAKUMBUKA MANENO YA MZEE Wetu Juma Mnonji Kuwa TOKEA AANZE KUWA MWANA SIMBA TOKEA ENZI ZA Sunderland na Sasa Simba Sports Club hajawahi Kuona Kocha MBOVU na MSANII Kama Logarusic. Kikubwa Zaidi Kilichomsibu Loga Haswa Jana Ni Kitendo Chake Cha KUWATUKANA WACHEZAJI Matusi Ya NGUONI ktk Dressing Room Huku Akitaka Kuwapiga Baadhi Kama Baba Ubaya, Uhuru na Banda Na Isingekuwa Busara Ya Matola Angewapiga Kweli. Na Ikumbukwe Pia Kuwa Logarusic Alikwishaonywa Kuhusiana Na Tabia Zake Hizo Na Kibaya Zaidi Anapenda Mno Starehe Na Vibinti Vidogo Vidogo huku Akishindwa Kuwa Responsible Kama Coach au Manager wa Klabu Kubwa. Kuna Uwezekano Milovan au Kikieleweka Patrick Phiri au Kocha Kutoka Kusini Mwa Afrika Akaja ila kwa Sasa Mzambia MATOLA Ndiyo Caretaker. Binafsi Napongeza Kutimuliwa Kwake kwani Dhahama Kubwa Ingetukumba huko Mbeleni.

Mkuu GENTAMYCINE samahani, naomba ufafanuzi hapa, unamzungumzia SELEMANI MATOLA huyu huyu ama kuna mwingine?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom