georgeallen
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 4,120
- 1,882
Simba kafa muda. Huyu wa sasa mbona ni ni mzimu wake!
......kitendo cha kuendesha Club kama Mchezo wa kubahatisha nako kuna tu-cost kwakweli; Simba imekua ni kama mali ya Simba sasa.mkuu kocha hana matatizo tatizo ni rage anapenda kukumbatia makundi sasa wamekutana na julio nae anapenda majungu kama mama wa kiswazi..timu za simba na yanga zinaendeshwa na wenye fedha ukiwauzi basi wanaongea na wachezaji utashangaa watakuwa hawajitumi kabisa ili timu ifungwe wao wafurahi.. Angaliaàkina sunzu wanalipwa zaidi ya milion tano lakini hawaisaidii timu angalia nidhamu ya boban....
Wazazi wako buzy kwenye vikao vya send off , mtoto anaendelea kuchezea LIBOLO wakimaliza vikao, mtoto ana mapacha. hahaahaaaaaa. hongera sana libolo la kagera
Simba for life!
mkuu kocha hana matatizo tatizo ni rage anapenda kukumbatia makundi sasa wamekutana na julio nae anapenda majungu kama mama wa kiswazi..timu za simba na yanga zinaendeshwa na wenye fedha ukiwauzi basi wanaongea na wachezaji utashangaa watakuwa hawajitumi kabisa ili timu ifungwe wao wafurahi.. Angaliaàkina sunzu wanalipwa zaidi ya milion tano lakini hawaisaidii timu angalia nidhamu ya boban....
du!simba wakali,mpaka messi yupo?nimesoma kwenye gazeti moja kuwa Fabrigas kamwambi malkia wa nyuki kama dau lipo anatua msimbaz,
Msimu huu mnaweza shika nafasi ya 4 au 5
Simba kafa muda. Huyu wa sasa mbona ni ni mzimu wake!