Simba sc vs kagera sugar

Simba sc vs kagera sugar

Kadi nyekundu Juma Nadi wa Kagera Sugar....

Heheeee.......Dakika 6 za nyongeza

Watani mshindwe wenyewe.....Kagera wapo 10 uwanjani na mmeongezewa dakika 6
 
Refa kapiga mtu Red Card wa Kagera Sugar na kaongeza dakika 6, wazee jinasueni basi!
 
aje bana aanze kuporomosha mitusi kama kawaida yake ndugu yetu crashwise
Nina uhakika atakuja baada ya mechi na kuanza kushusha verse....

Dakika 90 zimeisha.......Ndani ya dakika za nyongeza sasa
 
Na Mpira umekwishaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!

Kagera 1,Simba 0,Pole wana simba na karibu tena Kagera

byabato
 
Full Time

Kagera Sugar 1-0 Simba

Poleni sana watani.....Wazee wa Temeke
 
Back
Top Bottom