Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,490
- 2,104
Kwa kweli siwapendi Simba, kwa hali hii hadi nimeanza kuona huruma! Sijui Mwanza itakuwaje!
Wazazi wako buzy kwenye vikao vya send off , mtoto anaendelea kuchezea LIBOLO wakimaliza vikao, mtoto ana mapacha. hahaahaaaaaa. hongera sana libolo la kageraNa Mpira umekwishaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
Kagera 1,Simba 0,Pole wana simba na karibu tena Kagera
byabato
Jamani waungwana ina maana kagera hamna wana JF mbona hamtupi matokea au leo sio jumatano.
Jamani tumelogwa nini? Sasa malkia wa nyuki atachoka, kila mechi tunacheza na Maanji.Kagera 1 simba 0. Wamekula ntotomya
Wapi crashwise
Hadi kipyenga cha mwisho kinapulizwa matokeo ni Kagera 1 - Simba 0.Jamani waungwana ina maana kagera hamna wana JF mbona hamtupi matokea au leo sio jumatano.
nipo mkuu...
Kwa kweli siwapendi Simba, kwa hali hii hadi nimeanza kuona huruma! Sijui Mwanza itakuwaje!
........hivi huyu kocha na Rage wake unaona wanafaa kuendelea kuwa nao????nipo mkuu...
Rage nidume la nyani bana. mtapigakelele mwisho wa siku bado yeye dumwhaya yote ni sababu ya TFF inayo-mwendekeza RAGE na kuvuruga mipango mizuri inayotaka kufanywa na wana-Simba. kamwe Simba haitapata mafanikio kwa kipindi kama Rage ataaendelea kukomalia kwenye kiti cha uenyekiti wa Club.
aisee karibu sana mi nipo nala mnyama kwa mrija bana, vp ndizi za bukoba mkuu
amina...adui yako mwombee njaa..
........hivi huyu kocha na Rage wake unaona wanafaa kuendelea kuwa nao????
msimu huu semeni mtakavyo lakini msimu ujao mtatukoma..