MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Sasa imekuwa ni kawaida kila ambapo Mtangazaji huyu Maulid Kitenge akiwa katika Kipindi tegemea kusikia Habari mbaya (negative) tu ya Kuihusu Simba SC.
Na hata kwa wale mliobobea vyema katika Saikolojia hasa ya Kimwonekano (Body Language) tu ukimuangalia Maulid Kitenge kupitia YouTube utaona kabisa kuwa huwa anafanya Makusudi na Kudhamiria Kuichokonoa na Kutangaza Habari hasi (mbaya) kuihusu Klabu ya Simba.
Kwa mfano kwa Sisi Watu wa Michezo na wengine tuna bahati Kubwa ya kuwa na Marafiki Yanga SC, Azam FC, Simba SC, Namungo FC na hadi Mtibwa FC hivyo tunajua kuwa huko Yanga SC kuna Mafukuto matatu yanaendelea yakiwemo ya Kocha Kaze na Kiungo Mukoko, Wasemaji wao wawili Kugombana kila mara hadi Kutishiana na Mchezaji kutoka Angola Carlinhos Kugoma Kucheza hadi amaliziwe Pesa yake huku la mwisho likiwa ni Malalamiko ya Wachezaji Kurogana (Kuumizana) ila Mtangazaji Kitenge hayagusii.
Siishabikii Simba SC wala Yanga SC ila nadhani sasa imefikia muda Uongozi wa Simba SC utoe tamko lake Kali/ Zito Kwake Maulid Baraka Kitenge.
Na hata kwa wale mliobobea vyema katika Saikolojia hasa ya Kimwonekano (Body Language) tu ukimuangalia Maulid Kitenge kupitia YouTube utaona kabisa kuwa huwa anafanya Makusudi na Kudhamiria Kuichokonoa na Kutangaza Habari hasi (mbaya) kuihusu Klabu ya Simba.
Kwa mfano kwa Sisi Watu wa Michezo na wengine tuna bahati Kubwa ya kuwa na Marafiki Yanga SC, Azam FC, Simba SC, Namungo FC na hadi Mtibwa FC hivyo tunajua kuwa huko Yanga SC kuna Mafukuto matatu yanaendelea yakiwemo ya Kocha Kaze na Kiungo Mukoko, Wasemaji wao wawili Kugombana kila mara hadi Kutishiana na Mchezaji kutoka Angola Carlinhos Kugoma Kucheza hadi amaliziwe Pesa yake huku la mwisho likiwa ni Malalamiko ya Wachezaji Kurogana (Kuumizana) ila Mtangazaji Kitenge hayagusii.
Siishabikii Simba SC wala Yanga SC ila nadhani sasa imefikia muda Uongozi wa Simba SC utoe tamko lake Kali/ Zito Kwake Maulid Baraka Kitenge.