Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 10,766
- 22,139
Yaah mkuu tumefanya tafakuri na matokeo yake yanaonekana sasa, msimu uliopita tulikua wazee kimoko chali lakini saivi tunatwanga mpaka dozi 3Kama nyinyi mlivyojitafakari kwa misimu minne?
Yaah mkuu tumefanya tafakuri na matokeo yake yanaonekana sasa, msimu uliopita tulikua wazee kimoko chali lakini saivi tunatwanga mpaka dozi 3Kama nyinyi mlivyojitafakari kwa misimu minne?
Dk za nyongeza ni kwa ajili ya kufidia muda uliopoteaMkuu Samahan naomba unisimulie sijaangalia mechi...Dkk Za nyongeza kacheza Simba peke yake?
Wacha unazi wewe.Dk za nyongeza ni kwa ajili ya kufidia muda uliopotea
Kipindi cha kwanza iliongezwa 1 kwa maana hakukuwa na muda uliopotea kama ilivyo kipindi cha pili
Kuongeza dk 5 Ili Hali hakukuwa na upotevu wa dk hizo ni ubwege
Walicheza wote, ila mmoja alikuwa pungufu kwA maana Iyo dk zilizo ongezwa zilikuwa na faida kwa timu moja zaidi ya nyingine
Mkuu relax uwe na maisha yasiyo na mafundo moyoni. Kamati husika ya masaa 72 ilishakaa na kujadili kitendo kile na kutoa maamuzi yake. Bahati mbaya hakuna aliyejitokeza kupinga adhabu kuwa ni ndogo au kubwa. Wakati mwingine tunapodai haki tuwajibike vile vile. Leo hii usingekuwa una donge moyoni kama ungejitolea muda na rasilimali zako kupinga adhabu iliyotolewa na Kamati ya Masaa 72 kuwa ni ndogo, bahati mbaya ulibaki kimya, au pengine hata hujui kwamba ilijadiliwa na kuamuliwa kwa namna hiyo. Maamuzi yalikuwa haya, just kwa faida yako tu:Kwa hiyo ukimtia Dole mwamuzi unatakiwa update njano tu!!?
Simba mara kadhaa imecheza dhidi ya Yanga ikiwa pungufu, lakini ikashinda na Yanga wakawa wakiomba mechi iishe mabao yasiongezeke. Sio hoja ya msingi kusema kwamba timu ikiwa na wachezaji pungufu haiwezi kupata magoli au matokeo mazuriWalicheza wote, ila mmoja alikuwa pungufu kwA maana Iyo dk zilizo ongezwa zilikuwa na faida kwa timu moja zaidi ya nyingine
Lakini si mnaongoza ligi, wasiwasi wa nini? 😁😁😁Walicheza wote, ila mmoja alikuwa pungufu kwA maana Iyo dk zilizo ongezwa zilikuwa na faida kwa timu moja zaidi ya nyingine
Nyie Misukule ndio mna timu sioMakolo hamna timu msimu huu bali mna wahuni tu mliowaokota na kuwavalisha jezi
We topolo ulipakatwaBado dakika 1
Manara roho inakuumaMakolo tumepata goli, refa katimiza lengo, unaongezaje dakika 5 wakati mpira haujasimama
Utopolo wakitoka hapo mnyama akiwa anamhemea ataanza Tff na kariaImefikia hatua ya kulalamikia hadi dk 5 za nyongeza?
Aaaah kwa style hii hakutakuja kuwa na refa mzuri Tz
Utopolo mnanuna Simba kushindaDk za nyongeza si kwa ajili ya timu zote kucheza
Dk za nyongeza ni kwa maana ya kufidia muda uliopotea ndani ya dk 90
Dk za leo ni za maruwe ruwe
Kama sisi yanga tulivyobebwa juziKwa namna Simba inavyocheza ni Bora Mechi zao zichezwe saa 8 mchana pale uwanja wa zamani wa taifa. Nimatumizi mabaya ya nyasi za uwanja na umeme wakati Kiwango Chao ni Cha hovyo. Simba ya Sasa inaitaji refa aji dhalilishe ili Simba ipate matokeo.
Hili jamaa ni chakula unaona linavyolegeza macho
Unaacha kukaa na familia yako japo upitie home works za watoto unaenda na mtisheti wako uwanjani kusubiri wenzio wafungwe. Aibu gani hii