refa usipulize
Yanga wamepata nafasi wakashindwa kuitumia
MPIRA UMEKWISHA!
Simba 1 - Yanga 0
Yanga wamepata nafasi wakashindwa kuitumia
MPIRA UMEKWISHA!
Simba 1 - Yanga 0
Kidumu chama cha mapinduziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Dah.....Kazi kwelikweli...Au ndo mambo ya "Simba imeshinda kutoka na Sera Nzuri za CCM katika michezo"(Joking)
Yanga wamepata nafasi wakashindwa kuitumia
MPIRA UMEKWISHA!
Simba 1 - Yanga 0
Hongereni Simba, Yanga iliharibika toka ilipomuondoa kichwa Francis Kifukwe.
...hawa Simba kidedea!, ...eeeeeeee kidedea!!! 😀😀😀
ehhhh kidedea...pyipyipiiiiiii ehhhhh kidedea.....pyi pyi pyiiiiiiiii ehhhhhh kidedea...
Mechi 10 point 30 !! anibilivabo.....teh teh teh teh...