ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Kikosi cha Yanga isiyofungika nyumbani cha msimu huu na uliyopita kimewatesa sana wana Simba walio wengi na nadhani kosa kubwa hapa kwa Simba ni kukosea katika usajiri misimu yote miwili hii.
Ubora wa Yanga hii na Simba kufungwa na Azam kumezidi kuibua chuki na hasira nyingi kwa mashabiki wa Simba dhidi ya timu ya Yanga
Mifano ipo hai hata humu humu JF jukwaa la michezo someni hizo mada, utaona nyingi ni Simba wakiisema vibaya na kuiombea mabaya Yanga!
Mechi iliyoisha Yanga alitoka suluhu, Simba walicheka na kushangilia sana, unajiuliza shida iko wapi?
Yanga anacheza kimataifa, anawakilisha taifa pia,
Yanga ndiye bingwa wa nchi hata sasa, tena bingwa ambaye hajapoteza mchezo msimu unaenda wa pili huu,
Yanga ndiyo timu bora kuliko yeyote hapa Afrika Mashariki (na hili halina ubishi), kwanini Simba wasikubali hayo? Chuki za nini? Hata akitolewa Yanga huko Tunisia nini cha ajabu? Barcelona huyo anaenda Europa kuna ajabu gani sasa?
Simba acheni chuki, bado mnabebwa kwa kila namna. Eti mnaweza msicheze hadi Jumatano siku ambayo Yanga anaingia dimbani.
Kuna tetesi kuwa mmefikia hatua ya kutumia nguvu za giza kuidhoofisha timu ya Yanga na wachezaji wake wasipate matokeo katika michezo yake yote.
Acheni hizo, chezeni mpira, mnashindwa hata na wale Simba Queens ambao unawaona wanapigana kutafuta matokeo.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Ubora wa Yanga hii na Simba kufungwa na Azam kumezidi kuibua chuki na hasira nyingi kwa mashabiki wa Simba dhidi ya timu ya Yanga
Mifano ipo hai hata humu humu JF jukwaa la michezo someni hizo mada, utaona nyingi ni Simba wakiisema vibaya na kuiombea mabaya Yanga!
Mechi iliyoisha Yanga alitoka suluhu, Simba walicheka na kushangilia sana, unajiuliza shida iko wapi?
Yanga anacheza kimataifa, anawakilisha taifa pia,
Yanga ndiye bingwa wa nchi hata sasa, tena bingwa ambaye hajapoteza mchezo msimu unaenda wa pili huu,
Yanga ndiyo timu bora kuliko yeyote hapa Afrika Mashariki (na hili halina ubishi), kwanini Simba wasikubali hayo? Chuki za nini? Hata akitolewa Yanga huko Tunisia nini cha ajabu? Barcelona huyo anaenda Europa kuna ajabu gani sasa?
Simba acheni chuki, bado mnabebwa kwa kila namna. Eti mnaweza msicheze hadi Jumatano siku ambayo Yanga anaingia dimbani.
Kuna tetesi kuwa mmefikia hatua ya kutumia nguvu za giza kuidhoofisha timu ya Yanga na wachezaji wake wasipate matokeo katika michezo yake yote.
Acheni hizo, chezeni mpira, mnashindwa hata na wale Simba Queens ambao unawaona wanapigana kutafuta matokeo.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app