Simba leo mnaingia uwanjani na Game plan ipi?

Simba leo mnaingia uwanjani na Game plan ipi?

Anonymous Caller

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2016
Posts
1,196
Reaction score
1,591
Kama Simba Sc itaingia uwanjani kwa Game plan ya kujihami mwanzo mwisho simply ipo ugenini itaaibika..

Hii Game plan iliwa-cost Simba dhidi ya Constatine kule Algeria..
Ile mechi Simba sc haikustahili kufungwa..ulikuwa ni uzembe.Laiti Simba angekuwa na wazoefu wake wa zamani angeshinda.

Mambo ya kujihami kwa kukaa nyuma ya mpira yameanza kupitwa na wakati..

Njia nzuri ya kujihami ni kukaa na mpira.
Hii dhana ya heshima kwa mwenyeji kwa timu ya kawaida kama almasry ni very misleading.
Yanga alisafiri akaenda kumfunga ibenge kwake..inawezekana.

Odds inasomeka 1.66 home win.
 
Kama Simba Sc itaingia uwanjani kwa Game plan ya kujihami mwanzo mwisho simply ipo ugenini itaaibika..

Hii Game plan iliwa-cost Simba dhidi ya Constatine kule Algeria..
Ile mechi Simba sc haikustahili kufungwa..ulikuwa ni uzembe.Laiti Simba angekuwa na wazoefu wake wa zamani angeshinda.

Mambo ya kujihami kwa kukaa nyuma ya mpira yameanza kupitwa na wakati..

Njia nzuri ya kujihami ni kukaa na mpira.
Hii dhana ya heshima kwa mwenyeji kwa timu ya kawaida kama almasry ni very misleading.
Yanga alisafiri akaenda kumfunga ibenge kwake..inawezekana.

Odds inasomeka 1.66 home win.
Wawe na game plan au wasiwe nayo, simba leo anakaa.
 
Kama Simba Sc itaingia uwanjani kwa Game plan ya kujihami mwanzo mwisho simply ipo ugenini itaaibika..

Hii Game plan iliwa-cost Simba dhidi ya Constatine kule Algeria..
Ile mechi Simba sc haikustahili kufungwa..ulikuwa ni uzembe.Laiti Simba angekuwa na wazoefu wake wa zamani angeshinda.

Mambo ya kujihami kwa kukaa nyuma ya mpira yameanza kupitwa na wakati..

Njia nzuri ya kujihami ni kukaa na mpira.
Hii dhana ya heshima kwa mwenyeji kwa timu ya kawaida kama almasry ni very misleading.
Yanga alisafiri akaenda kumfunga ibenge kwake..inawezekana.

Odds inasomeka 1.66 home win.
Ibenge aliuza ile mechi kwa vipande fulani vya fedha
 
Kama Simba Sc itaingia uwanjani kwa Game plan ya kujihami mwanzo mwisho simply ipo ugenini itaaibika..

Hii Game plan iliwa-cost Simba dhidi ya Constatine kule Algeria..
Ile mechi Simba sc haikustahili kufungwa..ulikuwa ni uzembe.Laiti Simba angekuwa na wazoefu wake wa zamani angeshinda.

Mambo ya kujihami kwa kukaa nyuma ya mpira yameanza kupitwa na wakati..

Njia nzuri ya kujihami ni kukaa na mpira.
Hii dhana ya heshima kwa mwenyeji kwa timu ya kawaida kama almasry ni very misleading.
Yanga alisafiri akaenda kumfunga ibenge kwake..inawezekana.

Odds inasomeka 1.66 home win.
Umeamua kuchomekea hiyo ya Ibenge ila wote tunajua ukweli wa nini kilitokea.

Simba ilifungwa na Costantine kwa sababu ya makosa mawili ya mabeki ila si kwa sababu ya game plan mbovu.

Labda pia useme kuwapanga mabeki 3 wa kati nalo lilikuwa kosa maana si muundo ambao Fadlu amekuwa anautumia kwa hiyo kulikuwa na kutoelewana pale nyuma.
 
Ukweli ni kwamba, wote Simba na Al Masry wanajua ugenini watakufa.

Atakae kufa nyingi ndo atatolewa.

Simba anakufa ugenini, na al masry atakufa ugenini
 
Back
Top Bottom