Simba kucheza na Stellenbosch nusu fainali

Simba kucheza na Stellenbosch nusu fainali

Unajikosha hapa kwa aibu.....tunatunza hii post...mshenzyyy weye....
Katika upigaji wa Penati hata Timu ya Wendawazimu na Wapumbavu inaweza Kushinda kwani Kikubwa ni Bahati na Wengine bahati hiyo hiyo huwa hawana Ndani hadi Kuwakimbia pia Wababe wao wa Kudumu kwa sababu za Kitoto na Kipuuzi.
 
Katika upigaji wa Penati hata Timu ya Wendawazimu na Wapumbavu inaweza Kushinda kwani Kikubwa ni Bahati na Wengine bahati hiyo hiyo huwa hawana Ndani hadi Kuwakimbia pia Wababe wao wa Kudumu kwa sababu za Kitoto na Kipuuzi.
Usitupangie cha kufanya wewe mbona ulivyoamua kuolewa hatukukuchagulia mchumba?
 
Mechi imemalizika Kwa Stellenbosch kuifunga Zamalek Moja bila. Hivyo nusu fainali ni Simba na Stellenbosch
Haya sasa Simba mpewe nini tena, Mungu kawaepusha na kikombe cha Zamalek, kazi kwenu sasa, wenyewe mshindwe kumsukuma mlevi
 
Leo nilikuwa na Presha na hii game!

Gafla nikasikia neno ndani yangu, kunasema Hawa Wamisri mnaowaona Leo!

Hamtawaona Tena! Nikapata Imani ya Simba kuvuka!

Hili la south Africa ... Ninawaeleza ya Kwamba!

Mungu yule, aliyetusaidia kuvuka hapa!

Atatupa ushindi mnono sanaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom