Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,158
- 48,414
Mechi imemalizika Kwa Stellenbosch kuifunga Zamalek Moja bila. Hivyo nusu fainali ni Simba na Stellenbosch
Kuaga Mwili Msimbazi na Marehemu kuzikwa StellenboschItaanzia nyumbani kumbe
Inaanzia south africa, simba wako juu ya hao jamaa kwenye rank za CAFItaanzia nyumbani kumbe
Una Akili Sana WeweMm yanga damu ila nahamia simba
hii nayo tunavukaMechi imemalizika Kwa Stellenbosch kuifunga Zamalek Moja bila. Hivyo nusu fainali ni Simba na Stellenbosch
Ni kweli ila Azam sports wamesema itaanzia nyumbani kwa sababu caf walipanda mashindi kutoka kundi letu ataanzia nyumbani dhidi ya mshindi kwenye mechi ya Zamalek na StellenboschInaanzia south africa, simba wako juu ya hao jamaa kwenye rank za CAF
Unajikosha hapa kwa aibu.....tunatunza hii post...mshenzyyy weye....Kuaga Mwili Msimbazi na Marehemu kuzikwa Stellenbosch
Duh, mimi najua wanaangaliaga rank iyo hatua ya nusu na finalNi kweli ila Azam sports wamesema itaanzia nyumbani kwa sababu caf walipanda mashindi kutoka kundi letu ataanzia nyumbani dhidi ya mshindi kwenye mechi ya Zamalek na Stellenbosch
Safi. Bora soka sasa lihamie kusini mwa Sahara. Waarabu walitamba sana.Mechi imemalizika Kwa Stellenbosch kuifunga Zamalek Moja bila. Hivyo nusu fainali ni Simba na Stellenbosch
Tena Sana!Safi. Bora soka sasa lihamie kusini mwa Sahara. Waarabu walitamba sana.
Tunaomba mechi ichezwe KMC Complex, uwanja wa Taifa pitch ni mbovu sanaMechi imemalizika Kwa Stellenbosch kuifunga Zamalek Moja bila. Hivyo nusu fainali ni Simba na Stellenbosch