Jamani hivi ni kweli kwamba simba anapakatika??
Mama simba anapakatika kiulaini kabisa, ona alivyotulia tuli
Jamani hivi ni kweli kwamba simba anapakatika??
Huyo simba ni shosti bila shaka
Kijitonyama maeneo ya makumbusho barabarani kabisa kuna hii pub mpya imefunguliwa.
Nahisi bia za pale zina raha ya ajabu kutokana na jina lake.
![]()
OMG.....meeeen!!!:laugh:
Nitajitaidi nipite leo nikapate moja vuguvugu.
wadau hata mimi nimeshaiona hii pub..,ila sielewi kwanin owner ametumia hili jina,au anautani na washabiki wa Simba,kibiashara ikoje hii,.jamii imelipokeaje hilo jina +picha yake?
Kijitonyama maeneo ya makumbusho barabarani kabisa kuna hii pub mpya imefunguliwa.
Nahisi bia za pale zina raha ya ajabu kutokana na jina lake.
![]()
OMG.....meeeen!!!:laugh:
Nimeipenda hii picha, huyu jamaa lazima mtabiri mzuri.
Ndoto tuu...hata paka hapakatiki...halafu sio Simba SC aliyepakatwa...mtuache na timu yetu
Jamani hivi ni kweli kwamba simba anapakatika??