vibertz
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 3,121
- 5,844
Kwa msimu huu ama kwa misimu ya ujumla?Yaani mtu kashasema timu bora tanzania ngazi ya CAF halafu watu wanakaza mafuvu kusema kina mamelod pramidi kwani wapo tanzania?
Kwa msimu huu ama kwa misimu ya ujumla?Yaani mtu kashasema timu bora tanzania ngazi ya CAF halafu watu wanakaza mafuvu kusema kina mamelod pramidi kwani wapo tanzania?