Simba imetia aibu

Simba imetia aibu

Jana kulikuwa na harambee ya kuchangia chama cha mapinduzi CCM yanga iliwakilisha vizuri tu lakini simba hakukuwa na mwakilishi wwte yule pamoja na mama kuwapa kila kitu mpk ndege kikubwa wangechangia hata milion 50 bhad sio ivo kukaa kimya sio picha nzuri kwa serikali yetu kwani CCM ndo chama kinachounda serikali
Babaako andetumia condom, angetusaidia kupunguza mizigo kama ww
 
Jana kulikuwa na harambee ya kuchangia chama cha mapinduzi CCM yanga iliwakilisha vizuri tu lakini simba hakukuwa na mwakilishi wwte yule pamoja na mama kuwapa kila kitu mpk ndege kikubwa wangechangia hata milion 50 bhad sio ivo kukaa kimya sio picha nzuri kwa serikali yetu kwani CCM ndo chama kinachounda serikali
No reform no election.....wamuachie Lissu kwanza
 
Jana kulikuwa na harambee ya kuchangia chama cha mapinduzi CCM yanga iliwakilisha vizuri tu lakini simba hakukuwa na mwakilishi wwte yule pamoja na mama kuwapa kila kitu mpk ndege kikubwa wangechangia hata milion 50 bhad sio ivo kukaa kimya sio picha nzuri kwa serikali yetu kwani CCM ndo chama kinachounda serikali
Yanga ndio wametia aibu wameonesha kukosa weledi na kuvunja taratibu na Sheria za FIFA zinazikataza vilabu vya soka kujihusisha na siasa za vyama
 
Mna uelewa mdogo sana.Charity contribution inaweza vipi kusababisha ban? Serikali ya hao hao ccm kila siku inatoa pesa ,inajenga viwanja nk.mbona hawakatazwi?
Aisee! Hivi unaelewa maana ya Charity contribution?
Anyway, kati ya Yanga na CCM ni yupi hasa ana uhitaji wa kuchangiwa pesa katika uhalisia.
 
Makolo yanatia huruma, kufungwa mara 5 mfululizo na kutochukua kikombe chochote hata cha chai na Bado hawana hata 100/=
 
Nyie wehu mnaonitukana kaeni mkijua hii nchi ina wenyew sasa jifanyeni hamnazo pumbavu zenu simba wenyew washatoa leo ila wamesema wasitangazwe sie tunawachek tu na kelele zenu wehu nyie nchi itatawaliwa mtake msitake
 
FB_IMG_1753602522569.jpg
 
Mna uelewa mdogo sana.Charity contribution inaweza vipi kusababisha ban? Serikali ya hao hao ccm kila siku inatoa pesa ,inajenga viwanja nk.mbona hawakatazwi?
Hiyo pesa wanayotoa ya kwao!? Na zile wanazoiba huko BoT unadhani watu wamesahau!?
 
Jana kulikuwa na harambee ya kuchangia chama cha mapinduzi CCM yanga iliwakilisha vizuri tu lakini simba hakukuwa na mwakilishi wwte yule pamoja na mama kuwapa kila kitu mpk ndege kikubwa wangechangia hata milion 50 bhad sio ivo kukaa kimya sio picha nzuri kwa serikali yetu kwani CCM ndo chama kinachounda serikali
Haijatia aibu aibu umetiq wewe simba sio mnafiki kama unavyozani Simba ni kama mtoto anayelelewa na mama wa kambo
 
Jana kulikuwa na harambee ya kuchangia chama cha mapinduzi CCM yanga iliwakilisha vizuri tu lakini simba hakukuwa na mwakilishi wwte yule pamoja na mama kuwapa kila kitu mpk ndege kikubwa wangechangia hata milion 50 bhad sio ivo kukaa kimya sio picha nzuri kwa serikali yetu kwani CCM ndo chama kinachounda serikali
Simba wanajielewa
 
Back
Top Bottom