Simba huyu straika Msouth asipewe mkataba

Wabongo bwana kwa umbea ni balaa mbongo mpe headline taarifa atajipangia
Screenshot_20190619-182351.jpeg
Screenshot_20190619-182408.jpeg
Screenshot_20190619-182402.jpeg
Screenshot_20190619-182312.jpeg
Screenshot_20190619-182420.jpeg
 
Siyo huyoo Ryan,acheni haraka yule aliyepostiwa anaitwa Gerson Fraga ni beki, jaribu kuingia insta mtafute kwa jina hilo,au kamgoogle umuone!
Watu wengi humu hawaujui mpira hata ushabiki hawauwezi ila ni mashabiki maandazi!

Aliyepostiwa anaitwa Gerson Fraga Vieira katokea Atletico de Kolkata ya India ni mchezaji wa brazil na amecheza timu moja na kina Neymar mwaka 2009 katika timu ya vijana.

Academy iliyomlea ni ya Gremio
 
Watu wengi humu hawaujui mpira hata ushabiki hawauwezi ila ni mashabiki maandazi!

Aliyepostiwa anaitwa Gerson Fraga Vieira katokea Atletico de Kolkata ya India ni mchezaji wa brazil na amecheza timu moja na kina Neymar mwaka 2009 katika timu ya vijana.

Academy iliyomlea ni ya Gremio
Sawa sawa Mkuu,nashukuru kwa ufafanuzi zaidi!
 
Viongozi wapo makini. Wanajua tunachotaka. Tusianze kuwavuruga. Tusiwe kama wale jamaa wa uswazi. Wanasajili wachezaji hata hawaeleweki. Huyo katoka kaizer chiefs sio timu ndogo.
Sawa, ila ndo lazima tu google tuone yaliyomo
 
Back
Top Bottom