Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,381
- 78,452
Nipo kaka, nafuatilia usajiri wa timu zenu hz, mpk sasa sijaona mchezaji wa hata $ 100,000 mkimvunjisha mkataba na timu yakeMtu chake broo upo
Nipo kaka, nafuatilia usajiri wa timu zenu hz, mpk sasa sijaona mchezaji wa hata $ 100,000 mkimvunjisha mkataba na timu yakeMtu chake broo upo
Pesa ipo ,ionekane ikitumika ,ila huyo msouth hapanaWaache wachukue tu Mtani. Wenyewe wanasemaga Pesa ipo.
Nimemchek ktk video kadhaa ila bado namfatilia ile kindakindakiNipo kaka, nafuatilia usajiri wa timu zenu hz, mpk sasa sijaona mchezaji wa hata $ 100,000 mkimvunjisha mkataba na timu yake
OK ,hizo video kadhaa ulizomcheki vipi yuko vzr, kuweza kupambana ?Nimemchek ktk video kadhaa ila bado namfatilia ile kindakindaki
Aaah anapenda zile za kulala akiwa anakaba, sasa kwa viwanja vyetu hivi majerui tutegemee,, ila bado nazichek na zingine,, bado namchek, nikimaliza nitakwambiaOK ,hizo video kadhaa ulizomcheki vipi yuko vzr, kuweza kupambana ?
Afadhali Mkuu umetuwekea na picha,Bongo watu wajuaji sanaWabongo bwana kwa umbea ni balaa mbongo mpe headline taarifa atajipangiaView attachment 1131802View attachment 1131803View attachment 1131805View attachment 1131808View attachment 1131810
Sawa naona mkazo upo ktk kusajiri mabekiAaah anapenda zile za kulala akiwa anakaba, sasa kwa viwanja vyetu hivi majerui tutegemee,, ila bado nazichek na zingine,, bado namchek, nikimaliza nitakwambia
bongo nyoso kwa kutungaAfadhali Mkuu umetuwekea na picha,Bongo watu wajuaji sana
Watu wengi humu hawaujui mpira hata ushabiki hawauwezi ila ni mashabiki maandazi!Siyo huyoo Ryan,acheni haraka yule aliyepostiwa anaitwa Gerson Fraga ni beki, jaribu kuingia insta mtafute kwa jina hilo,au kamgoogle umuone!
Natumai huyu mchezaji ni pendekezo la kocha ,kuimarisha safu ya ulinziWabongo bwana kwa umbea ni balaa mbongo mpe headline taarifa atajipangiaView attachment 1131802View attachment 1131803View attachment 1131805View attachment 1131808View attachment 1131810
Sawa sawa Mkuu,nashukuru kwa ufafanuzi zaidi!Watu wengi humu hawaujui mpira hata ushabiki hawauwezi ila ni mashabiki maandazi!
Aliyepostiwa anaitwa Gerson Fraga Vieira katokea Atletico de Kolkata ya India ni mchezaji wa brazil na amecheza timu moja na kina Neymar mwaka 2009 katika timu ya vijana.
Academy iliyomlea ni ya Gremio
Ndo tatizo tulilonalo hasa No 4,5,3Sawa naona mkazo upo ktk kusajiri mabeki
Mi nashangaa tunakwama vipi kumchukua bwalya mpaka tunaanza angaika na vya bure.
Sawa, ila ndo lazima tu google tuone yaliyomoWana simba tutulie. Tuwaache viongozi wafanye Kazi yao. Haya mambo ya utabiri tumuachie mrithi wa sheikh yahaya.
Sawa, ila ndo lazima tu google tuone yaliyomo