Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 25,209
- 40,650
Aaah huyu ni gharama zaidi,maana Bwalya ni million 800 tuMi nashangaa tunakwama vipi kumchukua bwalya mpaka tunaanza angaika na vya bure.
Aaah huyu ni gharama zaidi,maana Bwalya ni million 800 tuMi nashangaa tunakwama vipi kumchukua bwalya mpaka tunaanza angaika na vya bure.
Kwa uhuni huu anaotaka kuufanya kwanzia leo namsapoti Mzee Kilomoni na Simba kumbe ni mali halali ya Mzee Kilomoni.Na bado. 💃💃💃💃. 😀😀
Tuachie Simba yetu, tunasajiri Mzungu This time.Nimefuatila huyu straiker was South Africa anaeletwa na Simba kiukweli takwimu zake haziridhishi japokuwa Ni kinda want miaka 22
Huyu anaitwa Ryan Moon Ni straiker Kaizer Chiefs msimu uliopita ambapo Kaizer chips walikuwa na msimu mbaya zaidi kwenye historia ya Ligi ya South Africa alicheza mechi 13 hakufanikiwa kufunga Wala ku assist
Huyu kijana ana goli 5 tu timu zote alizipitia na tangu aanze soka la ushindani.
Ni free Agent na ametangaza kuondoka South Africa , huyu dogo hawezi kuisaidia Simba sio ndani Wala nje
View attachment 1131608View attachment 1131609View attachment 1131610
Nguvu ya kutamba tena this iz.......Aaah huyu ni gharama zaidi,maana Bwalya ni million 800 tu
Another Jama Mba.wa2 washachukua 10% zao apo..
Ngoja tusubiriKaka Simba hela hakuna, na Moo kagoma hapo ndipo mnakwama mkuu.

poleni watani mnalo hilo...
Mi nashangaa tunakwama vipi kumchukua bwalya mpaka tunaanza angaika na vya bure.
Mtakuja tu Mtani na huu ndio mwanzo. 😀😀Kwa uhuni huu anaotaka kuufanya kwanzia leo namsapoti Mzee Kilomoni na Simba kumbe ni mali halali ya Mzee Kilomoni.
Duuh!Mkuu nakukumbusha tu ya kwamba ni wewe ndio wa kwanza kumsifia huyo mchezaji na nikakuuliza unamjua ukanitajia hadi timu anayochezea. Tujifunze kufuatilia jambo kwanza. View attachment 1131650
Sema na hawa waandishi wabongo sioBwalya kata pesa 800M na jamaa yenu kasema pesa hiyo ni ndefu kwa kiwango chakepoleni watani mnalo hilo...
Yeah! Nikweli kaka,Nimefuatila huyu straiker was South Africa anaeletwa na Simba kiukweli takwimu zake haziridhishi japokuwa Ni kinda want miaka 22
Huyu anaitwa Ryan Moon Ni straiker Kaizer Chiefs msimu uliopita ambapo Kaizer chips walikuwa na msimu mbaya zaidi kwenye historia ya Ligi ya South Africa alicheza mechi 13 hakufanikiwa kufunga Wala ku assist
Huyu kijana ana goli 5 tu timu zote alizipitia na tangu aanze soka la ushindani.
Ni free Agent na ametangaza kuondoka South Africa , huyu dogo hawezi kuisaidia Simba sio ndani Wala nje
View attachment 1131608View attachment 1131609View attachment 1131610
Duuh!
Mtakuja tu Mtani na huu ndio mwanzo.![]()
Na bado..
![]()
Hahahaaa. We ndio unaona tumeokota Swahiba ila si wenyewe walaaa.
Yajayo yatawafurahisha Swahiba.
Hakika Mkuu. Uko sahihi kabisa huo usemi.
Hahahaha, nakusalimia MtaniMtajiju![]()
Hahahaaa. Mtani umefanya nicheke kwa jinsi ulivyoziorodhesha hizo Post.Hahahaha, nakusalimia Mtani
Hahahaha, naona unavyo tiririkaHahahaaa. Mtani umefanya nicheke kwa jinsi ulivyoziorodhesha hizo Post.
Sijambo Mtani. Habari yako! Naona Mikua wanataka kuingizwa chaka.![]()

Waache wachukue tu Mtani. Wenyewe wanasemaga Pesa ipo.Hahahaha, naona unavyo tiririka
Ila kwa rekodi ya huyo mchezaji hapana bana , Mtani huyo hatishi Kabisa
MTC | 101|![]()
Mkuu hata pale Mazembe kuna wachezaji mikataba imeisha wengine imebaki miezi michache, kuna Ben Malango ,kuna Jacques Muleka , km kweli wanataka kushinda na hao wavamie pale, wamtikise Moise Katumbi kdgMimi ni shabiki wa Simba lakini kwa huyu Msouth Afrika hapana kabisa. Hivi Simba imeshindwa nini kumtuma Chama hapo Zambia au Kotei pale Ghana atafute "kisu" cha maana? Tena ukiwatuma wachezaji waandamizi kama hawa unakwepa madalali na unalipa pesa ndogo sana. Kuliko huyo Ryan si bora wangemleta hata Jese Were tu?
Mtu chake broo upoMkuu hata pale Mazembe kuna wachezaji mikataba imeisha wengine imebaki miezi michache, kuna Ben Malango ,kuna Jacques Muleka , km kweli wanataka kushinda na hao wavamie pale, wamtikise Moise Katumbi kdg