Simba huyu straika Msouth asipewe mkataba

Simba huyu straika Msouth asipewe mkataba

Kuna dalili zinaonekana kwa mbali ....maendeleo ya usajili msimbazi yanatia shaka ! Kuna kitu hakipo sawa! Mimi sikubaliana na mbwembe kuwa ...tutakuwa kama Zamalek,TP,AU Vita overnight! Hakuana mafanikiao ya aina hiyo ...unaweza ukafanikiwa kwa msimu mmoja tu! Lakini kuwa mafanikio endelevu ni lazima kazi ifanyike...Simba haijafikia Level ya kusajili mchezaji kwa M800! Hiyo bajeti ukiwekeza kwa wachezaji vijana wa kawaida baada ya miaka 2 Timu inaenda mbali
Tusipende kuona mafanikio kuwa ni kitu za mchezomchezo!
 
Nimefuatila huyu straiker was South Africa anaeletwa na Simba kiukweli takwimu zake haziridhishi japokuwa Ni kinda want miaka 22
Huyu anaitwa Ryan Moon Ni straiker Kaizer Chiefs msimu uliopita ambapo Kaizer chips walikuwa na msimu mbaya zaidi kwenye historia ya Ligi ya South Africa alicheza mechi 13 hakufanikiwa kufunga Wala ku assist
Huyu kijana ana goli 5 tu timu zote alizipitia na tangu aanze soka la ushindani.
Ni free Agent na ametangaza kuondoka South Africa , huyu dogo hawezi kuisaidia Simba sio ndani Wala nje
View attachment 1131608View attachment 1131609View attachment 1131610
Mkuu nakukumbusha tu ya kwamba ni wewe ndio wa kwanza kumsifia huyo mchezaji na nikakuuliza unamjua ukanitajia hadi timu anayochezea. Tujifunze kufuatilia jambo kwanza.
Screenshot_20190619-160236.jpeg
 
Hawa Simba ni wajanja sana! Wanaleta garasa makusudi ili sisi wazee wa bilioni tumkwapue uwanja wa ndege kama tulivyofanya kwa yule wa Uganda, halafu mwisho wa siku waje watucheke. Huyo wamsajili tu. Tumeshawashtukia.
 
Back
Top Bottom