Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 24,706
- 44,067
Hujasikia Viongozi wenu wanavyowadangaya kuwa Nkana wanataka 800ml ili kumwachia Bwalya?Mi nashangaa tunakwama vipi kumchukua bwalya mpaka tunaanza angaika na vya bure.
Hujasikia Viongozi wenu wanavyowadangaya kuwa Nkana wanataka 800ml ili kumwachia Bwalya?Mi nashangaa tunakwama vipi kumchukua bwalya mpaka tunaanza angaika na vya bure.
Ili mumpe HatiIle kauli ya kushindana na vilabu vikubwa ilikuwa kutupanga mo
Kawauliza hizo hisa zenu 51% zina thamani gani mpaka sasa hamjapa jibu,akaja kuomba Hati hamjampa. Saaa mnataka afanyaje?Mo sio mfadhili kama Manji, ni muekezaji, kwanini abembelezwe?! Tuandamane wanasimba aturudishie hisa zetu kama vipi!
Mo sio mfadhili kama Manji, ni muekezaji, kwanini abembelezwe?! Tuandamane wanasimba aturudishie hisa zetu kama vipi!
Kila penye uzito wepesi upo 😀Mtajiju 🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Hakika Mkuu. Uko sahihi kabisa huo usemi.Kila penye uzito wepesi upo 😀
Mkuu Mo hakuna kitu atafanya pale Simba . Atahangaika hangaika alafu atasepaKumbe MO na Yeye ni tapeli aliyeshindikana kama matapeli wa Yombo Buza.
Mkuu nakukumbusha tu ya kwamba ni wewe ndio wa kwanza kumsifia huyo mchezaji na nikakuuliza unamjua ukanitajia hadi timu anayochezea. Tujifunze kufuatilia jambo kwanza.Nimefuatila huyu straiker was South Africa anaeletwa na Simba kiukweli takwimu zake haziridhishi japokuwa Ni kinda want miaka 22
Huyu anaitwa Ryan Moon Ni straiker Kaizer Chiefs msimu uliopita ambapo Kaizer chips walikuwa na msimu mbaya zaidi kwenye historia ya Ligi ya South Africa alicheza mechi 13 hakufanikiwa kufunga Wala ku assist
Huyu kijana ana goli 5 tu timu zote alizipitia na tangu aanze soka la ushindani.
Ni free Agent na ametangaza kuondoka South Africa , huyu dogo hawezi kuisaidia Simba sio ndani Wala nje
View attachment 1131608View attachment 1131609View attachment 1131610
Kaka Simba hela hakuna, na Moo kagoma hapo ndipo mnakwama mkuu.Mi nashangaa tunakwama vipi kumchukua bwalya mpaka tunaanza angaika na vya bure.
Na bado. 💃💃💃💃. 😀😀Kumbe MO na Yeye ni tapeli aliyeshindikana kama matapeli wa Yombo Buza.
😁😁😁Mo sio mfadhili kama Manji, ni muekezaji, kwanini abembelezwe?! Tuandamane wanasimba aturudishie hisa zetu kama vipi!
Simba wanazo mkuu usiwe na wasiwasiBwalya milioni 800 mzee sio pesa ndogo hiyo