1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,326
- 12,691
Yah, tusha mcheki kwa you tubeHuyu ni Mbrazil anaitwa Gerson anacheza India na si mshambuliaji ni Beki wa kati.
Yah, tusha mcheki kwa you tubeHuyu ni Mbrazil anaitwa Gerson anacheza India na si mshambuliaji ni Beki wa kati.
Mzee umeenda mbali mbona ana toto moja matata sana,Huyu kaja kuwakata kina gigy money
Yah, tusha mcheki kwa you tube
Best adolay njoo uone vituko huku. 😀😀
hahaha we jamaa weweHuyo bwalya viongozi wake wanataka hela sawa na waliochangishana yanga kwenye kubwa kuliko.
yaani hyo hela yanga wameipata kwa tabu kweli kweli.
Leo waje kupewa kirahisi kisa bwalya.
Unadhani yanga watajisikiaje?
Sio kaizer chief?Huyu ni Mbrazil anaitwa Gerson anacheza India na si mshambuliaji ni Beki wa kati.
sio huyo bhana huyo iyetambulishwa simba anachezea ATM ya India anaitwa GERSON VIEIRANimefuatila huyu straiker was South Africa an8aeletwa na Simba kiukweli takwimu zake haziridhishi japokuwa Ni kinda want miaka 22
Huyu anaitwa Ryan Moon Ni straiker Kaizer Chiefs msimu uliopita ambapo Kaizer chips walikuwa na msimu mbaya zaidi kwenye historia ya Ligi ya South Africa alicheza mechi 13 hakufanikiwa kufunga Wala ku assist
Huyu kijana ana goli 5 tu timu zote alizipitia na tangu aanze soka la ushindani.
Ni free Agent na ametangaza kuondoka South Africa , huyu dogo hawezi kuisaidia Simba sio ndani Wala nje
View attachment 1131608View attachment 1131609View attachment 1131610
😁😁😁😁😂😂😂😂😂 dadeq zake wanajidai wajuaji Sana mavi yaoView attachment 1131934
Mwenyewe kajipinda kaandika uzi mreeeefu,kumbe kaandika madudu
Mnataka kutuletea vituko vya akina jaja
India?sio huyo bhana huyo iyetambulishwa simba anachezea ATM ya India anaitwa GERSON VIEIRA
Vipi ramli zenu zimegoma?Mnataka kutuletea vituko vya akina jaja
Ramli mmejipigia wenyewe na mnajikosoa wenyeweVipi ramli zenu zimegoma?